Asayel Slay: Mwanamuzi wa kike Saudia kukamatwa kwa video aliotoa ya wasichana wa Mecca
Gavana wa Mecca anasema video ya Asayel Slay ni "matusi kwa mji huo".
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Kukamatwa kwa wanamfalme wa ngazi ya juu watatu wa Saudia kuna maana gani?
Kuondolewa mamlakani kwa ndugu wa karibu wa mwanamfalme wa Saudi Arabia kumechochea tetesi na uvumi mwingi
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Mfalme wa Saudia azuru msikiti wa Mecca
Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametembelea msikiti mkubwa mjini Mecca ambapo zaidi ya watu 100 walipoteza maisha wakati kreni ilipoanguka siku ya ijumaa.
5 years ago
BBCSwahili21 May
Wasichana Pakistan: Mwanaume akamatwa kwa kuua binamu zake juu ya video tatanishi'
Polisi wamemkata mwanaume anayeshukiwa kutekeleza mauaji ya wanawake wawili vijana nchini Pakistan baada ya video kusambaa mitandaoni inayomuonesha mwanaume mmoja akiwabusu.
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
9 years ago
Bongo529 Sep
Video: August Alsina akosolewa kwa kitendo cha kumpapasa ‘nyonyo’ shabiki wa kike jukwaani
Mwimbaji wa R&B wa Marekani, August Alsina amekosolewa na mashabiki wengi kwa kitendo cha kumpapasa matiti shabiki wa kike jukwaani mbele ya umati mkubwa tena bila ridhaa yake. Weekend iliyopita Ijumaa ya Sept.25, Alsina alitumbuiza kwenye tamasha la Freebandz Music Fest huko Baton Rouge. Akiwa jukwaani alimuita shabiki wa kike na kuendelea kufanya show huku […]
9 years ago
Bongo512 Sep
Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca
Takribam watu 107 wamepoteza maisha na wengine 238 kuumia baada ya crane kuanguka kwenye msikiti mkuu wa Mecca, Saudi Arabia. Kwa mujibu wa mashuhuda walioiambia Al Jazeera, crane huyo ilianguka jana mida ya jioni. Mamia ya watu waliojeruhiwa wakipewa huduma ya kwanza Msikiti huo ulikuwa umejaa watu pamoja na kuwa tukio hilo lilotokea kabla ya […]
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mwanamuzi Gurumo kuagwa leo
Wanamuziki nyota waliowahi kutamba na bendi ya DDC Mlimani Park “Sikinde Ngoma ya Ukae†leo watafanya ‘vitu vyao’ kwenye tamasha la Gurumo lililopangwa kufanyika kwenye Viwanja vya TCC Club Chang’ombe.
10 years ago
Bongo517 Jun
Video: Kuna TV ya Venezuela ambayo watangazaji wa kike wanasoma habari wakiwa watupu (Video)
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Kuna TV ya online ya nchini Venezuela iitwayo Desnudando la Noticia ambayo wasomaji wa habari husoma wakiwa watupu. Jionee mwenyewe: Related Tags:
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania