Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Pagwi afariki kwa ajali
Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Pagwi wilayani Kilindi Rajabu Nkungua amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akitumia kusafirisha kura kutoka ngazi kwenda halmashauri kupinduka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Chadema Singida wapanga kumburuza mahakamani msimamizi wa uchaguzi
Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA manispaa ya Singida, Vicent Mughwai (katikati) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kusudio la chama hicho kumfungulia shitaka msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa manispaa ya Singida, kwa tuhuma ya kukiuka kanuni za uchaguzi huo. Vicent ndugu yake na mbunge wa jimbo la Singida mashariki na mnadhimu mkuu wa sheria CHADEMA, Tundu Lissu, ametangaza rasmi kumng’oa mbunge wa CCM jimbo la Singida mjini Mohammed Gullam Dewji, kwenye uchaguzi...
11 years ago
GPLCCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvlaSGV2VWSwInsKnvSagOkIGI5UaRcTQzo00tifTYfyyaIFXl4H67ncRvHUTRm2RFtkvF4A3QQofDbFUZgNu-T/ccm.jpg?width=450)
DIWANI WA KATA YA NYIDA SHINYANGA (CCM) AMEFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdQAciz*2iv7x5iHL9ePwDXLCFvFrJfnES0759uDsdzXHH1AdpOMai1IulKgBkRsu*6Bx*GeMsN9hIiXiqlZelz9/munroe.jpg)
DK MUNROE AFARIKI DUNIA KWA AJALI
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Katibu UVCCM Meru afariki kwa ajali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyNmmBm8AqbdES-PyD-99*Mp4zNktCD653L3Yy*rooq0ZlxeTluggbH04uQbXKe-XKkw1Sa55pNwqQCiOxE7UuP/msanii.jpg?width=650)
MSANII BONGO MUVI AFARIKI KWA AJALI
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
NEC yatangza uchaguzi kwa majimbo na kata yaliyohairishwa
Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Na Jacquiline Mrisho
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza siku ya kupiga kura kwa baadhi ya majimbo ambayo uchaguzi wake ulihairishwa kutokana na sababu mbalimbali
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametaja siku hiyo ya uchaguzi itakuwa Disemba 13, mwaka huu.
“Natoa rai kwa Wananchi wote waliojiandikisha kama wapiga kura katika Majimbo na Kata husika kujitokeza katika vituo walivyojiandikishia ili kuweza...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Msimamizi wa uchaguzi wa EU ataka vyama vya siasa nchini kuwa na dhamira ya kuimarisha demokrasia
Muangalizi Mkuu wa EU EOM, Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) nchini.