NEC yatangza uchaguzi kwa majimbo na kata yaliyohairishwa
Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Na Jacquiline Mrisho
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza siku ya kupiga kura kwa baadhi ya majimbo ambayo uchaguzi wake ulihairishwa kutokana na sababu mbalimbali
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametaja siku hiyo ya uchaguzi itakuwa Disemba 13, mwaka huu.
“Natoa rai kwa Wananchi wote waliojiandikisha kama wapiga kura katika Majimbo na Kata husika kujitokeza katika vituo walivyojiandikishia ili kuweza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEC KUGAWA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI KWA VIGEZO
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini(NEC),inatarajia kuchunguza mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi na kuyagawa kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa NEC,Jaji Mstaafu Damian Lubuva wakati alipokutana na viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili masuala mbalimbali ya Tume katika kuelekea uchaguzi Mkuu.
Amesema ugawaji wa Majimbo,Tume imezingatia vigezo mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Vijimambo11 Oct
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA MKOA WA SIMIYU NA MAJIMBO YAKE(KATA KWA KATA) MWIGULU NCHEMBA AKIOMBA KURA ZA URAIS,UBUNGE NA UDIWANI
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12122545_433160623552838_8491293303994985999_n.jpg?oh=894c05b1f798795379cbe6b544a5d459&oe=5696183B)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12106902_433160540219513_149228279015799531_n.jpg?oh=2f496d7e09534b109070b442e992259e&oe=5693EDB4)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12143290_433160596886174_6374665949360148217_n.jpg?oh=6f2baaa4ee075ed5721909067f5765af&oe=5692D4B0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11223301_433160490219518_5838930651715208043_n.jpg?oh=d786e5b224fa642748cdf956fd341482&oe=56CD8422)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/11214198_433160363552864_2614794155084245693_n.jpg?oh=ea97bccd2c968274a80d7b4cb88b27a8&oe=569CF877&__gda__=1456644047_955228842884c9a202cbfed5577ef29e)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xta1/v/t1.0-9/12144731_433160453552855_2794580757465261037_n.jpg?oh=cf8c5279cb59c31dd2c37d741a0280e0&oe=568BFEBD&__gda__=1456324916_c73ede63f05827dae0dac957f4277405)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xal1/v/t1.0-9/12063536_433160210219546_4058349172803720667_n.jpg?oh=00c3887d3ef520b3ca04a08464d79b57&oe=5691AA98&__gda__=1456152271_51677c92196aeb81711a9955703b63a9)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/12065778_433160113552889_5651450610145408312_n.jpg?oh=aacdc62e55b30a9862e9b16d970a3dbe&oe=568C5C6E&__gda__=1451841368_6711289731e92e8051c2960f8083c31b)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/12108914_433160243552876_8111608174203468169_n.jpg?oh=423ffa00a7c34b15b6c894d9442a420a&oe=568CD42D)
10 years ago
MichuziNEC YATANGAZA MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya uchaguzi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwp5aKjOxMuL1MFPgklQfF2-c0xEW1kOcTMwKaBEzJ8XiELkMW7AQk2Y*DVB6j4x2WAjZp6SYR7jxOtAWuIWQfC/NEC_BANNER2.gif?width=640)
NEC YATANGAZA UCHAGUZI KATA 27
10 years ago
MichuziNEC KUTANGAZA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI MKUU 2015, JUNI 31
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...
9 years ago
MichuziNEC yatangaza Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi tarehe 20 Desemba, 2015
Majimbo ya Masasi Mjini mkoani Mtwara na Ludewa mkoani Njombe yanatarajia kufanya uchaguzi wa wabunge kesho (20.12.2015) ili kuwapata viongozi watakaoongoza majimbo hayo kwa kipindi cha miaka mitano.
Majimbo hayo hayakufanya uchaguzi tarehe 25.10.2015 kutokana na baadhi ya wagombea katika majimbo hayo kufariki dunia.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Damiani Lubuva amewasihi wananchi kujitokeza na kupiga kura kwa amani na utulivu. Jaji Lubuva amesema...