Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria za Kimila ‘zaifunika’ Serikali wilayani Serengeti

Tangazo  lililosambazwa  katika Ofisi za Serikali za Kata na maeneo mengine wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara, linaweza kutafsiriwa au kutoa picha kwamba utawala bora, haki za binadamu na utawala wa sheria hauna nafasi kwenye wilaya hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wafugaji Wilayani Serengeti waiomba serikali kuwarejeshea Eneo La Kuchungia Mifugo yao

Wafugaji wa vijii vinavyopakana na Hifadhi ya Serengeti katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wameiomba Serikali kuwarejeshea eneo la Kawanga walilokuwa wanalitumia kuchungia mifugo yao, ambalo lilichukuliwa na Serikali na kumpatia mwekezaji bila ya wao kushirikishwa.

Wakitoa kero zao kwa mbunge wa Jimo la Bunda, Boniphace Mwita, wakazi wa vijiji hivyo wameiomba Serikali kuwadhibiti wanyama aina ya Tembo, wanaotoka katika Hifadhi ya Serengeti ambao wamekuwa kero kubwa kutokana na kuvamia...

 

9 years ago

Michuzi

HATIMAYE VIJIJI VINNE WILAYANI HANANG’ VIMEPOKEA HATI ZA HAKIMILIKI ZA KIMILA ZA ARDHI‏‎

  Mzee wa heshima akielezea historia ya umiliki wa ardhi miaka ya nyuma ukilinganisha na sasa. Makko Sinandei Mratibu wa Miradi wa shirika la UCRT alisema wamekutana na changamoto za migogoro ya mipaka katika vijiji ambayo inazuia kushindwa kupima mipaka katika vijiji husika. Baadhi ya akina mama wa Kijiji hicho wakifuatilia tukio.

Na mwandishi wetuWenyekiti wa vijiji vinne vya wilaya ya Hanang’ wamepokea hati za hakimiliki za kimila za ardhi ya vijiji vyao baada ya kuwa vimepimwa na wao...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Elias John Tarimo akizindua Mradi wa Kisima cha Maji Kijiji cha Ngwala Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya kilicho jengwa na Kampuni ya utafiti wa madini yaPeak Resources Katika kata ya Ngwala Wilayani humo.Baadhi ya Wananchi wakishuhudia uzinduzi wa Mradi wa Maji Kijiji cha Ngwala Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...

 

11 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani azindua Kituo cha Polisi Natta,Wilayani Serengeti Mkoani Mara

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh. Pereira Silima akizindua rasmi Jengo la Kituo cha Polici cha Natta Wilayani Serengeti huku Mkurugenzi Mkuu wa Grumeti Fund,Bw. Brian Harris akishuhudia. Kituo hicho cha Polisi cha kisasa kimegharimu shilingi Milioni 273 ambazo zimetolewa na Grumeti Fund ikiwa ni pamoja na nyumba za kuishi familia mbili za Polisi na mfumo wa kuvuna maji. Naibu Waziri Mambo ya Ndani,Mh. Pereira Silima akikata utepe kufungua rasmi Kituo cha Polisi cha Natta wilayani...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti

>Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imeizuia Serikali ya Tanzania kujenga barabara ya lami kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikieleza kuwa ujenzi huo utaathiri mazingira, maisha ya wanyamawwpori na baoanuai ya hifadhi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Kinana: Serikali irahisishe upatikanaji leseni wilayani

KINANAANa Patricia Kimelemeta, Ngara
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameitaka Serikali kurahisisha upatikanaji wa leseni kwenye wilaya zote nchini badala ya kutolewa makao makuu ya miji pekee.
Alisema kufanya hivyo ni kuchelewesha maendeleo na shughuli za Watanzania ambao wanajitafutia riziki na badala yake mchakato huo uwafuate wananchi kwenye wilaya zao.
Kinana alitoa wito huo jana wakati akihutubia wananchi wa Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, katika ziara yake ya siku...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali yadaiwa zaidi ya Sh. Mil. 872 wilayani Mbarali

Walimu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanaidai Serikali zaidi ya Shilingi Milioni 872 za malimbikizo ya stahiki mbalimbali ikiwemo Mishahara. Takwimu zilizotolewa na uongozi wa Chama cha Walimu CWT wilayani humo zinaonesha kuwa sehemua ya madai hayo inawahusu walimu wastaafu na baadhi yao wameshafariki.

Waalimu hao wamesema kucheleweshewa kulipwa madeni yao kunasababisha malalamiko ya marakwa mara kutokana na kuahidiwa kulipwa madani yao...

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA SERIKALI WILAYANI KARATU WAMETAKIWA KUTEKELEZA AMRI YA RAIS

Watendaji wa Serikali wilayani Karatu wametakiwa kutekeleza amri ya Rais kwa kusimamia masuala ya usafi katika maeneo yao.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.

   Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Allan Chonjo akitangaza washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na kampuni hiyo nchini kote, kushoto kwake ni Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo, na kulia kwake ni Afisa Mwandamizi kutoka PWC Bwana Tumain iliyofanyika mapema leo jijini Dar es Salaaam.  Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia  Serengeti Allan Chonjo akiongea kwa njia ya sinu na moja wa washindi wa droo ya kwanza ya Winda Safari ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani