Majaribio ya chanjo ya saratani ya kizazi kufanyika Kilimanjaro
SERIKALI imeuteua Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya majaribio ya chanjo ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWADAU WA CHANJO YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (HPV) WAKUTANA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Habarileo07 Apr
Chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi Mei
CHANJO ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka tisa hadi 13 itaanza kutolewa na serikali mwezi ujao.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s72-c/2hpv2708.jpg)
WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s640/2hpv2708.jpg)
Semina hiyo ya siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Majaribio ya chanjo ya ebola kuanza
Majaribio makubwa ya chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola, yanapangiwa kuanza hatimaye nchini Liberia.
5 years ago
CCM Blog19 Mar
WHO: MAJARIBIO CHANJO YA COVID-19 (CORONA) YAMEANZA
![WHO: Majaribio ya chanjo ya COVID-19 (Corona) yameanza](https://media.parstoday.com/image/4bppab3963bcce15ayh_800C450.jpg)
Shirika la Afya Duniani limesema siku 60 baada ya sampuli za virusi vya Corona au COVID-19 kuwasilishwa na China, chanjo ya kwanza ya majaribio imeanza.Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema, “haya ni mafanikio makubwa, tunawapongeza watafiti kote duniani ambao wamekuja pamoja ili kutathmini majaribio ya tiba."Ameongeza kuwa WHO na washirika wake wanaandaa utafiti katika nchi nyingi ambako baadhi ya nchi...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Chanjo ya ebola yaanza kufanyiwa majaribio
Chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa ebola imefanyiwa majaribio kwa watu wazima 20 nchini Marekani huku Shirika la Afya Ulimwenguni likihitimisha mkutano wake wa siku mbili Geneva, Uswisi.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Ebola:Canada kutoa chanjo ya majaribio
Serikali nchini Canada inasema kuwa itatoa hadi dosi 1,000 za chanjo ya majaribio ya ugonjwa wa Ebola kwa shirika la afya duniani WHO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AyrScgJFQLA/Xp_zgL9eyTI/AAAAAAALnxM/1FOR9JL2V201pc5HJZovCVzKQrT9tz1AgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
UINGEREZA KUFANYA MAJARIBIO YA CHANJO YA CORONA WIKI HII
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
CHANJO dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) iliyochakatwa katika Chuo kikuu cha Oxford nchini Uingereza itafanyiwa majaribio kwa mara ya kwanza siku ya Alhamisi wiki hii, katibu wa Afya nchini humo Matt Hancock ameeleza.
Kwa mujibu wa DailyMail imeelezwa kuwa Hancock amesema kuwa chanjo itakua ni njia sahihi ya Kupambana na virusi hivyo.
Chanjo hiyo itafanyiwa majaribio kwa watu wapatao 510 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55 huku ikielezwa kuwa watafiti hao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania