WHO: MAJARIBIO CHANJO YA COVID-19 (CORONA) YAMEANZA
Shirika la Afya Duniani limesema siku 60 baada ya sampuli za virusi vya Corona au COVID-19 kuwasilishwa na China, chanjo ya kwanza ya majaribio imeanza.Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema, “haya ni mafanikio makubwa, tunawapongeza watafiti kote duniani ambao wamekuja pamoja ili kutathmini majaribio ya tiba."Ameongeza kuwa WHO na washirika wake wanaandaa utafiti katika nchi nyingi ambako baadhi ya nchi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Kenya kufanyia majaribio chanjo ya Covid-19 kwa binadamu
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AyrScgJFQLA/Xp_zgL9eyTI/AAAAAAALnxM/1FOR9JL2V201pc5HJZovCVzKQrT9tz1AgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
UINGEREZA KUFANYA MAJARIBIO YA CHANJO YA CORONA WIKI HII
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
CHANJO dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) iliyochakatwa katika Chuo kikuu cha Oxford nchini Uingereza itafanyiwa majaribio kwa mara ya kwanza siku ya Alhamisi wiki hii, katibu wa Afya nchini humo Matt Hancock ameeleza.
Kwa mujibu wa DailyMail imeelezwa kuwa Hancock amesema kuwa chanjo itakua ni njia sahihi ya Kupambana na virusi hivyo.
Chanjo hiyo itafanyiwa majaribio kwa watu wapatao 510 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55 huku ikielezwa kuwa watafiti hao...
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watu waanza kujitolea kushiriki majaribio ya chanjo mpya corona
5 years ago
CCM Blog24 Apr
WANASAYANSI WA UINGEREZA KUIFANYIA MAJARIBIO CHANJO YA CORONA KWA WAKENYA
![vaccine](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/144E9/production/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya corona: Je kwanini Waafrika wanaombwa kushiriki majaribio ya chanjo?
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Wanasayansi nchini Australia waanza kufanya majaribio ya chanjo mbili
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Dunia ilivyokosa fursa ya kupata chanjo ya ugonjwa wa Covid-19