Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea na West Ham zapigwa faini

Klabu za West Ham na Chelsea zimetozwa faini ya £40,000 na £50,000 mtawalia na Shirikisho la Soka la Uingereza baada ya kukiri mashtaka ya utovu wa nidhamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Chelsea, West Ham zapigwa faini England

Chelsea-vs-West-HamLONDON, ENGLAND
CHAMA cha soka nchini England (FA) kimezitoza faini Klabu ya Chelsea na West Ham kutokana na utovu wa nidhamu uliooneshwa katika mchezo wa Ligi Kuu huku Chelsea ikiambulia kichapo cha mabao 2-1.

Chelsea wao wametozwa faini ya pauni 50,000 wakati West Ham ikitozwa pauni 40,000 kutokana na kukiri mashtaka ya utovu wa nidhamu ulioonyeshwa Oktoba 24 kwenye Uwanja wa Upton Park. Wachezaji watano wa Chelsea walioneshwa kadi za njano huku kiungo wao wa kati Nemanja Matic akioneshwa...

 

9 years ago

Bongo5

Timu za Chelsea na West Ham zapigwa faini na FA

2DBBB7B800000578-3290249-image-a-12_1445882422124

Klabu za West Ham na Chelsea zimetozwa faini ya £40,000 na £50,000 na Shirikisho la Soka la Uingereza baada ya kukiri mashtaka ya utovu wa nidhamu.

2DBBB7B800000578-3290249-image-a-12_1445882422124

Adhabu hiyo imetokea wakati wa ushindi wa West Ham wa 2-1 dhidi ya Chelsea uwanjani Upton Park Oktoba 24.

Wachezaji watano wa Chelsea walipewa kadi za njano na kiungo wa kati Nemanja Matic na meneja Jose Mourinho walifukuzwa uwanjani.

Kwa upande wa wachezaji wa West Ham walimzingira refa Jonathan Moss baada ya Matic kumkaba Diafra Sakho dakika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kuchuana na West Ham

Harakati za Chelsea kuendelea kudhibiti uongozi katika ligi ya Uingereza itaendelea hii leo katika mechi za siku ya Boxing Dei

 

10 years ago

BBC

West Bromwich Albion 4-0 West Ham

Record buy Brown Ideye of Nigeria strikes twice as West Brom ease past 10-man West Ham to reach the FA Cup quarter-finals.

 

10 years ago

Michuzi

AZAM, SIMBA, YANGA ZAPIGWA FAINI

Kikao cha Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania  kilichoketi jumanne ya tarehe 24, Machi 2015 jijini Dar es salaam, kimepitia taarifa mbalimbali za michezo iliyochezwa na kutoa adhabu kwa wachezaji na vilabu vya Ligi Kuu ya Vodacom.

Katika mechi namba 107 iliyowakutanisha wenyeji Ndanda FC dhidi ya Coastal Unioni, klabu ya Ndanda imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kwa mujibu wa Kanuni ya 42(1) ya Ligi Kuu ya Vodacom  kutokana na washabiki wake kumrushia chupa...

 

10 years ago

BBCSwahili

West Ham 3-1 Liverpool

Liverpool iliambulia kichapo chake cha tatu msimu huu ilipolazwa na West Ham

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal vs West Ham

Mechi tatu za ligi kuu ya premia zimeratibiwa kuchezwa leo.Tunakuletea matangazo ya moja kwa moja kutoka Emirates West ham ikichuana na Arsenal

 

10 years ago

BBCSwahili

West Ham yaiadhibu Swansea

West Ham United waliiadhibu Swansea baada ya kumiminia magoli 3 - 1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani