Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea yawasilisha maombi ya utanuzi wa Stamford Bridge, hii ndiyo idadi ya watu watakaokuwa wakiingia!!

Stamford-Bridge_3514722b

                                                                                    Stamford Bridge

 

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mabingwa wa ligi kuu ya Wingereza kwa msimu wa 2014/2015, Chelsea wamepeleka maombi ya kuongeza ukubwa wa uwanja wao wa Stamford Bridge kwa Baraza la Hammersmith na Fulham kuomba kibali cha ujenzi wa uwanja huo.

Chelsea wameomba kuongeza ukubwa wa uwanja wao ambao kwa sasa unaingiza watu 41,600 na wanataka kuongeza uwe na uwezo wa kuingiza watazamaji 60,000 wakiwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea kuboresha Stamford Bridge

Klabu ya soka ya Chelsea imewasilisha maombi ya mpango wa kuupanua Uwanja wa Stamford Bridge

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return  FOX Sports AsiaAncelotti succumbs to worst-ever defeat as former club Chelsea thrash Everton  Goal.comEPL Winners and Losers After Sunday's 2020 Week 29 Premier League Results  Bleacher ReportMatch report: Chelsea 4 Everton 0  Chelsea FCRoy Keane warns Carlo Ancelotti about Everton job in damning assessment of Chelsea loss  Daily StarView Full coverage on Google News

 

10 years ago

CloudsFM

HII NDIYO AJALI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATU TISA MBEYA

Watu tisa kati yao wanaume saba na wanawake wawili wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria lenye namba za usajili t.203 ARZ aina ya Toyota Coaster lililokuwa likiendeshwa na dereva John Emanuel (36) mkazi wa Mlowo-Mbozi likiwa linatokea mjini Mbeya kwenda Tunduma wakati akijaribu kulipita gari lenye namba T.789 AZL/T.123 AXV aina ya Tata truck eneo ambalo kuna mlima na mbele yake kuna kona lilitokea gari T.903 CVF aina ya tata basi hivyo dereva wa coaster kulazimika kuingia...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA STADI JUU YA JINSI YA KUDHIBITI IDADI YA WAFUNGWA MAGEREZANI LEO JIJINI DAR

Kamishna wa Huduma za Urekebishaji wa Magereza, Deonice Chamulesile akisoma risala ya ufunguzi katika Kikao cha uwasilishaji wa Stadi juu ya jinsi ya kudhibiti idadi ya Wafungwa Magerezani iliyofanywa na Asasi ya Kiraia ya IRaWS - T. Kikao hicho kimefanyika leo Aprili 30, 2014 katika Ukumbi wa Luther House, Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Nicas Banzi(wa pili kushoto) ni Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza Onel Malisa(wa kwanza kushoto) ni Katibu...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA

 Idara ya Uhamiaji nchini  imewakamata raia wanane  wa kigeni  (pichani chini) wakati wakiingia nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu  Nyerere wakiwa na pasipoti bandia za kusafiria za Mataifa tofauti ya Ulaya. 

Wageni hao walikuwa wakijaribu kuingia nchini leo tarehe 15.08.2014 majira ya saa nane na nusu usiku kwa ndege ya shirika la ndege la Uturuki yenye Namba TK 603,  wakitokea Uturuki na kujitambulisha kuwa ni raia wa Sweden na Belgium. 

   Maofisa Uhamiaji katika kituo...

 

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani