Chemsha bongo ya Brazil 2014
Je wewe ni shabiki sugu wa kombe la dunia?, unajiona kama mjuzi wa mechi ambazo zimeshachezwa? Haya lete majibu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkw7u44Vk5g8bT7tSZf*frawjANI7kqml*iPJsgzfqaNxt6Ssdq1oNnwQYOmGVpP-X1PJRFuSdC0LbZ-j56u-6C/10.gif?width=650)
11 years ago
Michuzi25 Jun
MSHINDI WA ‘CHEMSHA BONGO YA BRAZIL’ AKABIDHIWA CHAKE
MSHINDI wa Chemsha Bongo ya Brazil inayoendeshwa na gazeti la Championi, Afande Jamila Omari Mkele, leo amekabidhiwa king'amuzi na dishi kutoka Azam TV pamoja na televisheni ya kisasa (flat screen) kutoka kampuni ya Sony baada ya kushinda shindano hilo.
Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika ofisi za Global Publishers wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Amani, Risasi, Ijumaa, Championi na Ijumaa Wikienda.
Afisa Masoko wa Azam TV, Shah Mrisho (kulia) akimkabidhi zawadi zake Afande...
Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika ofisi za Global Publishers wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Amani, Risasi, Ijumaa, Championi na Ijumaa Wikienda.
11 years ago
GPLWASHINDI WA CHEMSHA BONGO YA BRAZIL WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatano, Phillip Nkini (kulia) akimkabidhi Said Muhammed Muba zawadi yake ya dekoda na dishi. Ofisa Mauzo wa Azam TV, Shah Seffu Mrisho (kulia) akimkabidhi Allen John Muhuma zawadi ya TV na dekoda.…
11 years ago
GPLMSHINDI WA ‘CHEMSHA BONGO YA BRAZIL’ AKABIDHIWA CHAKE
Afisa Masoko wa Azam TV, Shah Mrisho (kulia) akimkabidhi zawadi zake Afande Jamila.
Afande Jamila baada ya kukabidhiwa zawadi zake.
Akiwa na tabasamu wakati akihojiwa na…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y4M2gmQpLpE/VJX4Ga63f9I/AAAAAAAG4zE/OE2u1LLgkw4/s72-c/GOPR6826.jpg)
chemsha bongo: Taswira imepigwaje?
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y4M2gmQpLpE/VJX4Ga63f9I/AAAAAAAG4zE/OE2u1LLgkw4/s1600/GOPR6826.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4nigDxqnP60/VJX4HyjwfbI/AAAAAAAG4zM/GuSEf8ceFuI/s1600/GOPR6828.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgheb-n*obR-kAGoc4lOU27zVNV8162IyGYxzC5cjALggmVxsWSR0QTi7EZdNyOp0gCUFuoC0WzXfGbZGf-1GMg9/SHAFIIPIKIPIKI7667777777.jpg)
9 years ago
GPL07 Sep
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva
>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil
>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania