Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHIKOKA ANASWA NA ‘KIBURUDISHO’

Msanii wa filamu category ya ‘siriaz komedi’, Juma Chikoka ‘Chopa’ akiwa na dada huyo.
Brighton Masalu
MSANII wa filamu category ya ‘siriaz komedi’, Juma Chikoka ‘Chopa’ amenaswa ‘laivu’ akiwa na mrembo huku akionesha hali ya kutojiamini na kutoa tafsiri hasi miongoni mwa baadhi ya watu. Mwanahabari wetu alimnasa msanii huyo mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE, CHIKOKA NDANI YA SIASA

Mhamasishaji wa vijana CCM taifa, Juma Chikoka akiwa katika pozi. Juma Chikoka akijibu moja ya maswali aliyoulizwa na waandishi wa habari (hawapo pichani). Steve Nyerere akieleza lengo lake la kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni, jijini Dar.…

 

10 years ago

GPL

JUMA CHIKOKA LAIVU AKILA KITIMOTO

Stori:MUSA MATEJA MSANII wa kitambo ndani ya Bongo Movies, Juma Chikoka, amenaswa akila nyama ya nguruwe (kitimoto) huku ikiaminika kuwa ana imani isiyotumia mnyama huyo. Msanii kitambo ndani ya Bongo Movies, Juma Chikoka akijimegea kipande cha nyama (kitimoto). Tukio hilo lilijiri hivi karibuni maeneo ya Sinza jijini Dar ambapo msanii huyo alijumuika na marafiki zake pasipo kujua paparazi wa kujitegemea alikuwa akifanya kazi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

SIGARA: Kiburudisho kinachoua mamilioni duniani

Uvutaji wa sigara unasababisha vifo vya watu wengi ulimwenguni, uvutaji sigara uliua watu wapatao milioni 100 karne iliyopita. Uvutaji sigara huua watu wapatao milioni 6 kila mwaka. Kwa wastani, kila...

 

9 years ago

Mtanzania

Christian Bella awa kiburudisho sherehe ya Tiffah

IMG-20150921-WA0004NA CHRISTOPHER MSEKENA

MASTAA wengi wamejitokeza kuiona sura ya mtoto wa msanii, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, anayeitwa Lattifah ‘Tiffah’ baada ya kutimiza siku 40 tangu alipozaliwa.

Baadhi ya mastaa waliohudhuria katika sherehe ya kutolewa mtoto huyo ni Aunt Ezekiel, Mrisho Mpoto, Queen Dareen, Shetta, Christian Bella, Dj Ommy na wengine wengi.

Msanii Christian Bella ndiye alikuwa mtumbuizaji mkuu katika sherehe hiyo na kukonga nyoyo zao hasa alipoimba wimbo wa ‘Ukimuona’, ambao ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani