SIGARA: Kiburudisho kinachoua mamilioni duniani
Uvutaji wa sigara unasababisha vifo vya watu wengi ulimwenguni, uvutaji sigara uliua watu wapatao milioni 100 karne iliyopita. Uvutaji sigara huua watu wapatao milioni 6 kila mwaka. Kwa wastani, kila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Ufisadi unaua mamilioni duniani
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Hewa chafu inaua mamilioni duniani
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mamilioni ya tani za mabaki ya chakula hutupwa kila mwaka duniani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w0M3C3L-3KQ/XrUx50-PM2I/AAAAAAALpeQ/0g9QTGsH9wIOCnM2npkuTmxDlp70vVK9wCLcBGAsYHQ/s72-c/askari%252Bpic.jpg)
WAFAHAMU WAHALIFU WALIOVUNJA REKODI YA KUMILIKI MAMILIONI YA PESA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-w0M3C3L-3KQ/XrUx50-PM2I/AAAAAAALpeQ/0g9QTGsH9wIOCnM2npkuTmxDlp70vVK9wCLcBGAsYHQ/s640/askari%252Bpic.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LINAPOKUJA suala la kutengeneza fedha sio kila mtu atatengeneza fedha kwa njia halali, baadhi ya wahalifu ulimwenguni wamefahamika zaidi kutokana na umiliki wao wa pesa nyingi zilizopatikana kwa njia isiyo ya halali, wengi wao wamekuwa wakipata pesa kupitia biashara haramu ikiwemo uuzaji wa dawa za kulevya, kuendesha mitandao ya ngono, uuzaji wa binadamu, ujangili na hata kutumia silaha ili kujipatia mali.
Licha ya shughuli zao kuwaweka katika hatari kubwa...
11 years ago
Bongo521 Jul
Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
9 years ago
Bongo Movies23 Nov
Onyango Atoboa Kinachoua Wasanii
ISSA Joseph ‘Mzee Onyango’ amewashukia wasanii wa filamu kwa kuwaambia kitu kinachosababisha kuchuja mapema katika sanaa ya uigizaji tofauti na wasanii wakongwe kama yeye ambao wamedumu katika tasnia hadi leo, Mzee Onyango anasema wasanii wanavimba vichwa.
“Hawa wasanii wengi hawataki kushauri kwa lolote, akisifiwa kidogo tu, anavimba kichwa na kujiona hana haja ya kufuatilia ushauri kutoka kwa mtu mwingine anajiona anajua, hawabadiliki na hawezi kukaza buti,”anasema Mzee Onyango.
Onyango...
10 years ago
GPLCHIKOKA ANASWA NA ‘KIBURUDISHO’
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Christian Bella awa kiburudisho sherehe ya Tiffah
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MASTAA wengi wamejitokeza kuiona sura ya mtoto wa msanii, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, anayeitwa Lattifah ‘Tiffah’ baada ya kutimiza siku 40 tangu alipozaliwa.
Baadhi ya mastaa waliohudhuria katika sherehe ya kutolewa mtoto huyo ni Aunt Ezekiel, Mrisho Mpoto, Queen Dareen, Shetta, Christian Bella, Dj Ommy na wengine wengi.
Msanii Christian Bella ndiye alikuwa mtumbuizaji mkuu katika sherehe hiyo na kukonga nyoyo zao hasa alipoimba wimbo wa ‘Ukimuona’, ambao ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ88Efd349L6bR5Qn4bqytVZ3soZ7AKuYJRVxRXW2m288PsjT8nGMayEI9JzIpoW4fZD5K-AcVMDFdAbjCqhcxSz/FRONTIJUMAA.jpg)
KIONGOZI WA KIKUNDI CHA KIGAIDI KINACHOUA POLISI NA KUIBA SILAHA NI HUYU