Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Onyango Atoboa Kinachoua Wasanii

ISSA Joseph ‘Mzee Onyango’ amewashukia wasanii wa filamu kwa kuwaambia kitu kinachosababisha kuchuja mapema katika sanaa ya uigizaji tofauti na wasanii wakongwe kama yeye ambao wamedumu katika tasnia hadi leo, Mzee Onyango anasema wasanii wanavimba vichwa.

“Hawa wasanii wengi hawataki kushauri kwa lolote, akisifiwa kidogo tu, anavimba kichwa na kujiona hana haja ya kufuatilia ushauri kutoka kwa mtu mwingine anajiona anajua, hawabadiliki na hawezi kukaza buti,”anasema Mzee Onyango.

Onyango...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Onyango Atoboa Kinacho Waua Wasanii wa Leo!

Mkongwe wa  komedi  hapa Bongo, ISSA Joseph ‘Mzee Onyango’ amewashukia wasanii wa filamu kwa kuwaambia kitu kinachosababisha kuchuja mapema katika sanaa ya uigizaji tofauti na wasanii wakongwe kama yeye ambao wamedumu katika tasnia hadi leo, Mzee Onyango anasema wasanii wanavimba vichwa.

“Hawa wasanii wengi hawataki kushauri kwa lolote, akisifiwa kidogo tu, anavimba kichwa na kujiona hana haja ya kufuatilia ushauri kutoka kwa mtu mwingine anajiona anajua, hawabadiliki na hawezi kukaza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto  badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.

Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu  wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.

Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

SIGARA: Kiburudisho kinachoua mamilioni duniani

Uvutaji wa sigara unasababisha vifo vya watu wengi ulimwenguni, uvutaji sigara uliua watu wapatao milioni 100 karne iliyopita. Uvutaji sigara huua watu wapatao milioni 6 kila mwaka. Kwa wastani, kila...

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA KIKUNDI CHA KIGAIDI KINACHOUA POLISI NA KUIBA SILAHA NI HUYU

Stori:Waandishi wetu/Ijumaa
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita Kaisi Bin Abdullah akijitapa kufanya hivyo kwa lengo la kukusanya silaha ili kulipa kisasi siku si nyingi!
Ijumaa liliunasa mkanda huo kutoka kwa mtu mmoja aliyekataa kujitambulisha kwa jina wala kusema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Onyango amshinda Atuihairwe wa Uganda

.James Onyango wa Kenya alimshinda Patrick Atuihairwe wa Uganda na kutwaa ubingwa wa Jumuiya ya Madola Afrika uzani wa welter katika pigano lililofanyika Ijumaa mjini Nairobi.

 

10 years ago

TheCitizen

ONYANGO-OBBO: Ebola could kill democracy in Africa

>The world is falling behind in a desperate race to stop the deadly Ebola outbreak, Anthony Banbury, head of the UN Mission for Ebola Emergency Response warned amid dire predictions that thousands of new infections are possible before year’s end.

 

10 years ago

TheCitizen

ONYANGO-OBBO: A man eateth where he worketh, so some eat from their flocks

>It seems the dust is settling on the “‘Prophet Dr” Victor Kanyari saga, and it’s the right time to bring some history and a global perspective in the matter.

 

10 years ago

TheCitizen

ONYANGO-OBBO: Stop twerking and get dancing, life is too short

>In August the Kenyan blog TheGatunduPrince published an interesting list of “East Africa 30 most watched videos on YouTube.”How shall we put this? Ugandans, according to TheGatunduPrince’s list, seem to be East African kings of music video.

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Amshuru Mungu Kwa Kumkutanisha na Mzee Onyango!!

"Leo nimekutana na baba yangu kipenzi changu kipenzi cha wengi Mzee onyango Dah asante mungu nilikua namuona katika TV kabla sijawa msanii wala sijafikiri kua msanii leo kwa mapenzi yako umenikutanisha nae kweli mungu mwema sana nawajali na wa heshimu na kuwapenda walio nitangulia katika TASNIA hii ya uigizaji kwani wao ndio kioo changu Nawapenda sanaaaaaaaaaa mungu atuwekee amin"-Riyama amabe ni moja kati waigizaji wa kike wanaofanya vizuri kwasasa hapa Bongo aliandika hayo mara baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani