Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Onyango Atoboa Kinacho Waua Wasanii wa Leo!

Mkongwe wa  komedi  hapa Bongo, ISSA Joseph ‘Mzee Onyango’ amewashukia wasanii wa filamu kwa kuwaambia kitu kinachosababisha kuchuja mapema katika sanaa ya uigizaji tofauti na wasanii wakongwe kama yeye ambao wamedumu katika tasnia hadi leo, Mzee Onyango anasema wasanii wanavimba vichwa.

“Hawa wasanii wengi hawataki kushauri kwa lolote, akisifiwa kidogo tu, anavimba kichwa na kujiona hana haja ya kufuatilia ushauri kutoka kwa mtu mwingine anajiona anajua, hawabadiliki na hawezi kukaza...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Onyango Atoboa Kinachoua Wasanii

ISSA Joseph ‘Mzee Onyango’ amewashukia wasanii wa filamu kwa kuwaambia kitu kinachosababisha kuchuja mapema katika sanaa ya uigizaji tofauti na wasanii wakongwe kama yeye ambao wamedumu katika tasnia hadi leo, Mzee Onyango anasema wasanii wanavimba vichwa.

“Hawa wasanii wengi hawataki kushauri kwa lolote, akisifiwa kidogo tu, anavimba kichwa na kujiona hana haja ya kufuatilia ushauri kutoka kwa mtu mwingine anajiona anajua, hawabadiliki na hawezi kukaza buti,”anasema Mzee Onyango.

Onyango...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto  badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.

Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu  wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.

Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson

Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji  Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu  afunguaka mazito kupitia ukurasa wake mtandaoni.

Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;

Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa

Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hiki ndicho kinacho mstahili Warioba?-2

KUPITIA gazeti  hili toleo namba 3414 la tarehe 9 Aprili, 2014, niliandika makala yenye kichwa cha habari “hiki ndicho kinachomstahili Warioba”?  Maudhui yake yalijikita katika kuonesha utovu wa nidhamu wa...

 

11 years ago

GPL

SNURA AELEZA KINACHO-WAPONZA WEZI WA WAUME ZA WATU

Stori: Gladness Mallya MAMAA Majanga, Snura Mushi amefunguka kuwa kinachowaponza wanawake wengi wanaoiba wanaume za watu ni kupenda kujitangaza. Akizungumza kupitia Global Online TV (itaruka leo mtandaoni), Snura alisema kwa kulitambua hilo ndiyo maana aliwatonya kuwa ukiiba mume wa mtu fanya siri katika wimbo wa Nimevurugwa.
“We ni mwizi halafu unatangaza kila sehemu unatafuta nini kama siyo matatizo na mwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Onyango amshinda Atuihairwe wa Uganda

.James Onyango wa Kenya alimshinda Patrick Atuihairwe wa Uganda na kutwaa ubingwa wa Jumuiya ya Madola Afrika uzani wa welter katika pigano lililofanyika Ijumaa mjini Nairobi.

 

11 years ago

TheCitizen

ONYANGO-OBBO: Ebola could kill democracy in Africa

>The world is falling behind in a desperate race to stop the deadly Ebola outbreak, Anthony Banbury, head of the UN Mission for Ebola Emergency Response warned amid dire predictions that thousands of new infections are possible before year’s end.

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Amshuru Mungu Kwa Kumkutanisha na Mzee Onyango!!

"Leo nimekutana na baba yangu kipenzi changu kipenzi cha wengi Mzee onyango Dah asante mungu nilikua namuona katika TV kabla sijawa msanii wala sijafikiri kua msanii leo kwa mapenzi yako umenikutanisha nae kweli mungu mwema sana nawajali na wa heshimu na kuwapenda walio nitangulia katika TASNIA hii ya uigizaji kwani wao ndio kioo changu Nawapenda sanaaaaaaaaaa mungu atuwekee amin"-Riyama amabe ni moja kati waigizaji wa kike wanaofanya vizuri kwasasa hapa Bongo aliandika hayo mara baada ya...

 

10 years ago

TheCitizen

ONYANGO-OBBO: A man eateth where he worketh, so some eat from their flocks

>It seems the dust is settling on the “‘Prophet Dr” Victor Kanyari saga, and it’s the right time to bring some history and a global perspective in the matter.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani