Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China yaongeza bajeti yake ya Jeshi

China inasema kuwa bajeti yake ya ulinzi itaongezeka kwa asilimia kumi mwaka huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tato yaongeza kasi Jeshi la Polisi

CHAMA cha Waongoza Watalii Tanzania (TATO) kimetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za jeshi  hilo  kupambana na wahalifu...

 

11 years ago

Michuzi

DR MWINYI AWASILISHA Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Hussen Mwinyi akisoma bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi kwa Mwaka 2014/2015 leo Bungeni mjini Dodoma.  Mtumishi wa Ofisi ya Bunge Paulina Mavunde akigawa kitabu cha Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujengaTaifa kwa Mwaka 2014/2015 leo  Wabunge wakisoma Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa 2014/2015 leo.  Mkuu wa Majeshi Jenerali  Davis Mwamunyange akiwa amesimama wakati akitambulishwa na Spika wa Bunge...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. 'Peoples Great Hall', jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo. jana Mei 20, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).

3

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakisimama kwa heshima wakati zikipigwa nyimbo za Taifa la Tanzania na China, kwenye mapokezi yake katika Ukumbi Maalum wa Watu wa China, kwa ajili ya mazungumzo baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini Nchina.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mwenyeji wake Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la China laingia Sudan Kusini

Uchina imesema kuwa kikosi chake kwa kwanza maalum cha kijeshi kilichojumuisha wanajeshi wa UN kimeingia nchini Sudan kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China

Viongozi wa mashitaka nchini China wamemfungulia mashitaka ya ufisadi na utumizi mbaya wa mamlaka afisaa mmoja mkuu wa zamani wa jeshi

 

11 years ago

CloudsFM

YOUNG KILLER ATUMIA BAJETI NDOGO KWENYE VIDEO YA NGOMA YAKE YA ‘MY POWER’

Video ya Msanii wa Hip Hop,Young Killer iitwayo ‘The Power’imeelezwa kuwa ni video iliyotumia gharama ndogo pengine kuliko video za wasanii wote wa Kibongo.Aidha wasanii wanaongoza kwa kutumia gharama kubwa kwenye kutengeneza video zao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Sheta, Linah , Navy Kenzo, Weusi ila diamond ametajwa kuongoza kwa kutumia bajeti kubwa zaidi.Huyu hapa Young Killer anafunguka kwanini ngoma yake imetumia gharama ndogo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani