China yaongeza bajeti yake ya Jeshi
China inasema kuwa bajeti yake ya ulinzi itaongezeka kwa asilimia kumi mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Tato yaongeza kasi Jeshi la Polisi
CHAMA cha Waongoza Watalii Tanzania (TATO) kimetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za jeshi hilo kupambana na wahalifu...
11 years ago
Michuzi14 May
11 years ago
Michuzi.jpg)
DR MWINYI AWASILISHA Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.


10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA

10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Jeshi la China laingia Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Jenerali wa jeshi ashitakiwa kwa ufisadi China
11 years ago
CloudsFM16 Jul
YOUNG KILLER ATUMIA BAJETI NDOGO KWENYE VIDEO YA NGOMA YAKE YA ‘MY POWER’
Video ya Msanii wa Hip Hop,Young Killer iitwayo ‘The Power’imeelezwa kuwa ni video iliyotumia gharama ndogo pengine kuliko video za wasanii wote wa Kibongo.
Aidha wasanii wanaongoza kwa kutumia gharama kubwa kwenye kutengeneza video zao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Sheta, Linah , Navy Kenzo, Weusi ila diamond ametajwa kuongoza kwa kutumia bajeti kubwa zaidi.
Huyu hapa Young Killer anafunguka kwanini ngoma yake imetumia gharama ndogo.