Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China yatakiwa kusitisha ujenzi baharini

Marekani imetaka kuwepo usitishwaji kwa ujenzi wa miradi kwenye maeneo yanayozozaniwa katika bahari ya kusini mwa China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali yatakiwa kusitisha uporomokaji wa bei za Filamu Nchini - Wadau

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Olegabriel aliyesimama akifungua Mkutano Baadhi ya wasambazaji wa Filamu nchini (hawapo pichani)kuhusu kuporomoka kwa bei ya filamu, wa pili kutoka kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini. Bi. Joyce Fissoo.Mkutano huo ulifanyika jana jijini Dar es Salaam
Na Genofeva Matemu – Maelezo
Serikali imewapongeza wasambazaji na wadau wa filamu nchini kwa mchango wao mkubwa katika kuelimisha,...

 

10 years ago

BBCSwahili

China yatetea miradi yake baharini

Mmoja wa makamanda wakuu katika jeshi la China ametetea sera za nchi hiyo za kujenga miradi katika maeneo yanayozozaniwa baharini

 

5 years ago

Michuzi

NHC YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI JENGO LA KITEGA UCHUMI MUTUKULA

Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lililopo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoani Kagera likiwa katika hatua za ukamilishaji kama linavyoonekana. (PICHA ZOTE NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI)

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwasili katika Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilipo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata

DSC_0534

Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA LUDEWA YATAKIWA KUFANYA UKAGUZI MIRADI MBALIMBALI YA UJENZI INAYOENDELEA


 Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka, akihakiki vipimo vilivyotumika katika vyumba vitatu vya madarasa vya shule ya sekondari Chief KidulileMkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka akihoji sababu ya kufeli wanafunzi wa kidato cha nne katika masomo mengine na kufaulu vizuri kiswahili. Kutoka kulia ni Mkuu wa wilaya Andrea Tsere na kutoka kusho ni mratibu wa elimu kata ya Ludewa Renisi Mtitu na mkuu wa wa shule ya Chief Kidulile Alois Kapelela.


Na Shukrani Kawogo.

Halmashauri...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hati ya ujenzi wa Bagamoyo yatiwa saini China

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi mbili kubwa za kimataifa jana, Jumapili, Oktoba 26, 2014, zilitiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kuendeleza kwa pamoja Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo ambako pia itajengwa bandari kubwa ya Bagamoyo ambayo inatarajiwa kutoa mchango mkubwa kwa uchumi wa Tanzania.

Pande hizo tatu ambazo ni pamoja na Kampuni ya Uendeshaji Bandari ya China Merchant Holding...

 

5 years ago

Michuzi

CHINA YAANZA UJENZI UWANJA WA MPIRA UTAKAOGHARIMU DOLA BILIONI 1.7


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAKATI vizuizi vikipungua nchini China ikiwa ni sehemu ya kupambana na virusi vya Corona (Covid -19)  klabu moja ya mpira wa miguu nchini humo imeeleza nia yake ya kurudisha mambo katika hali ya kawaida.
Klabu ya Guangzhou Evergrande imetangaza kuanza kazi ya kujenga uwanja wa mpira utakaobeba watazamaji  100,000, na utakua uwanja mkubwa zaidi ulimwenguni.
Imeelezwa kuwa uwanja huo umejengwa katika umbo la ya aina ya lotus  utagharimu dola za kimarekani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani