China yatakiwa kusitisha ujenzi baharini
Marekani imetaka kuwepo usitishwaji kwa ujenzi wa miradi kwenye maeneo yanayozozaniwa katika bahari ya kusini mwa China.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_J0KkJVl10/VKOc8rq_jpI/AAAAAAAG6rg/oYmVgtjrSWI/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Serikali yatakiwa kusitisha uporomokaji wa bei za Filamu Nchini - Wadau
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_J0KkJVl10/VKOc8rq_jpI/AAAAAAAG6rg/oYmVgtjrSWI/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
Na Genofeva Matemu – Maelezo
Serikali imewapongeza wasambazaji na wadau wa filamu nchini kwa mchango wao mkubwa katika kuelimisha,...
10 years ago
BBCSwahili31 May
China yatetea miradi yake baharini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jV7SJaMYEYE/XoBUC3mgJ3I/AAAAAAALlcg/GroQ9aR7Ww8YCbm-RVPjblRdOn4oXcmlgCLcBGAsYHQ/s72-c/NHC-4-768x512.jpg)
NHC YATAKIWA KUKAMILISHA UJENZI JENGO LA KITEGA UCHUMI MUTUKULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jV7SJaMYEYE/XoBUC3mgJ3I/AAAAAAALlcg/GroQ9aR7Ww8YCbm-RVPjblRdOn4oXcmlgCLcBGAsYHQ/s640/NHC-4-768x512.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGnZW9a_dA0/XoBTmlg4hZI/AAAAAAALlcY/9QT58VHOaHA4p5MxWoRS7L0fFQKiZPSCwCLcBGAsYHQ/s640/NHC-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwasili katika Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilipo mpakani mwa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera kwa...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata
Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DszsxjecQvE/XmuOa7IybeI/AAAAAAALi8Q/20ziAe1XNAQitpPFbff7CWaRPlXrO98jgCLcBGAsYHQ/s72-c/5e864fd9-48ae-483e-bc20-a2f594affb48.jpg)
HALMASHAURI YA LUDEWA YATAKIWA KUFANYA UKAGUZI MIRADI MBALIMBALI YA UJENZI INAYOENDELEA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DszsxjecQvE/XmuOa7IybeI/AAAAAAALi8Q/20ziAe1XNAQitpPFbff7CWaRPlXrO98jgCLcBGAsYHQ/s1600/5e864fd9-48ae-483e-bc20-a2f594affb48.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-i9dXb3cfRWs/XmuOba8ngdI/AAAAAAALi8U/Iign8rBmfpwfMa76hDkTBX6u_CPpZLB5ACLcBGAsYHQ/s640/27211692-f7ec-4d1a-bd35-225a3c8971a5.jpg)
Na Shukrani Kawogo.
Halmashauri...
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Hati ya ujenzi wa Bagamoyo yatiwa saini China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi mbili kubwa za kimataifa jana, Jumapili, Oktoba 26, 2014, zilitiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kuendeleza kwa pamoja Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo ambako pia itajengwa bandari kubwa ya Bagamoyo ambayo inatarajiwa kutoa mchango mkubwa kwa uchumi wa Tanzania.
Pande hizo tatu ambazo ni pamoja na Kampuni ya Uendeshaji Bandari ya China Merchant Holding...
5 years ago
MichuziCHINA YAANZA UJENZI UWANJA WA MPIRA UTAKAOGHARIMU DOLA BILIONI 1.7
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAKATI vizuizi vikipungua nchini China ikiwa ni sehemu ya kupambana na virusi vya Corona (Covid -19) klabu moja ya mpira wa miguu nchini humo imeeleza nia yake ya kurudisha mambo katika hali ya kawaida.
Klabu ya Guangzhou Evergrande imetangaza kuanza kazi ya kujenga uwanja wa mpira utakaobeba watazamaji 100,000, na utakua uwanja mkubwa zaidi ulimwenguni.
Imeelezwa kuwa uwanja huo umejengwa katika umbo la ya aina ya lotus utagharimu dola za kimarekani...