Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chozi la Sendeka ni la kiuzalendo au la mamba?

CHRISTOPHER ole Sendeka, ni mmoja wa wabunge niliokuwa nikiwaamini kuwa wametawaliwa na uzalendo. Hulka ya watu wa kabila lake, Wamasai ya kutokuwa wanafiki, wakiwa wanaipenda na kuiheshimu haki pamoja na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Dk.Nagu, Ole Sendeka lawamani

HALI ya hewa kisiasa imechafuka Babati, Manyara.

Paul Sarwatt

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sendeka: Katiba mpya shakani

MJUMBE wa Bunge Malalumu la Katiba, Christopher ole Sendeka, ameonyesha wasiwasi wake wa kutopatikana kwa Katiba mpya kutokana na sheria ya Mabadiliko ya Katiba Ibara ya 26(2) kukosa mbadala. Mjumbe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sendeka: Muhongo, Maswi wezi

WABUNGE jana waligeuza Ukumbi wa Bunge sehemu ya mnyukano baada ya baadhi yao kushambuliana, huku wakituhumiana kwa wizi na wamehongwa na uongozi wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya...

 

11 years ago

IPPmedia

Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka


IPPmedia
Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka
IPPmedia
Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has urged donors who fund different developmental projects in the district to disclose their sources of funding, in an effort to refrain from the use of 'dirty money'. The MP issued the directive at the weekend during the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chozi hupenda amani

CHOZI ni moja ya jamii za ndege wanaopatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki. Chozi pamoja na ndege mwingine ajulikanaye kwa jina la  Kiingereza Spiderhunte, wanatengeneza familia ya Nectariniidae....

 

9 years ago

Habarileo

Sendeka: Magufuli anakubalika mikoa yote

MJUMBE wa Kamati ya Kampeni wa CCM, Christopher ole Sendeka, amesema mikoa yote ambako wamezunguka, wamejihakikishia kuwa mgombea wa chama chao, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sura ya sita itakuwa na changamoto — Sendeka

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Christopher ole Sendeka, amesema kunawezekana kuwepo na changamoto kubwa katika kujadili sura ya sita kutokana na kuwa na sura ya muundo wa Muungano. Sendeka...

 

10 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema watu wote waliohusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow lazima wawajibishwe, huku akimtetea Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kueleza kuwa hastahili kuwajibika kwa kuwa uwajibikaji wa sakata hilo siyo wa pamoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Vita ya Sendeka, Muhongo yakolea bungeni

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (CCM) amejibu mapigo ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akisema waziri huyo ni mbumbumbu kutokana na kitendo chake cha kuwasilisha tuhuma dhidi yake bungeni, huku akitaka achukuliwe hatua na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani