Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya Sendeka, Muhongo yakolea bungeni

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (CCM) amejibu mapigo ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akisema waziri huyo ni mbumbumbu kutokana na kitendo chake cha kuwasilisha tuhuma dhidi yake bungeni, huku akitaka achukuliwe hatua na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vita ya Werema, Kafulila yakolea

>Mvutano kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema na Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila umechukua sura mpya baada ya mwanasheria huyo kugoma kupatanishwa huku akitishia ‘kumshughulikia’ mbunge huyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sendeka: Muhongo, Maswi wezi

WABUNGE jana waligeuza Ukumbi wa Bunge sehemu ya mnyukano baada ya baadhi yao kushambuliana, huku wakituhumiana kwa wizi na wamehongwa na uongozi wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema watu wote waliohusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow lazima wawajibishwe, huku akimtetea Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kueleza kuwa hastahili kuwajibika kwa kuwa uwajibikaji wa sakata hilo siyo wa pamoja.

 

10 years ago

Mwananchi

Vita vya Profesa Muhongo

Sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow linaweza kuwa limefanya jina la Profesa Sospeter Muhongo kuzungumzwa sana na kuonekana amekuwa kwenye wakati mgumu tangu lilipoibuka, lakini ukweli ni kwamba lilikuwa hitimisho tu la matukio mengi tangu msomi huyo aanze kuongoza Wizara ya Nishati na Madini.

 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka, Muhongo wakosekana bungeni

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka wameshindwa kuhudhuria vikao vya Bunge vinavyoendelea mjini Dodoma tangu vilipoanzia kutokana na sababu mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

Muhongo ahusishwa wizi nyaraka za Escrow bungeni

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo
Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, ametajwa kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja kati ya vijana wawili wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuiba kutoka Ofisi ya Katibu wa Bunge ripoti ya ukaguzi wa hesabu za zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Ukaguzi huo ulifanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Lema, Nassari wadai watamtoa Muhongo bungeni kwa mabavu

Mbunge wa Arusha mjini (Chadema) Godbless Lema amesema atamtoa kwa mabavu bungeni Waziri wa nishati na madini,Profesa Sospetre Muhongo katika kikao kijacho cha Bunge endapo atakuwa hajaondolewa kwenye nafasi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Vita ya urais yatua bungeni

Mh.-Stephen-WassiraNa Maregesi Paul, Dodoma

VITA ya urais imetua bungeni, baada ya mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), kuwatahadharisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira, kwamba harakati zao za kugombea urais hazitafanikiwa kama watashindwa kutatua kero za wananchi.
Akichangia taarifa ya utekelezaji wa kazi za Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kwa kipindi cha mwaka 2014 mjini Dodoma jana, Lugola alisema kama mawaziri hao watataka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani