Tibaijuka, Muhongo wakosekana bungeni
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka wameshindwa kuhudhuria vikao vya Bunge vinavyoendelea mjini Dodoma tangu vilipoanzia kutokana na sababu mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Tibaijuka: Mimi na Muhongo ni majembe ya JK
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam,
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema hatojiuzulu kwa sababu kufanya hivyo si fasheni.
Pamoja na kauli hiyo, pia ameweka bayana kuwa yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete katika kumsaidia kufanya kazi.
Kauli ya Profesa Tibaijuka imekuja siku chache baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema...
10 years ago
Vijimambo19 Jan
Ukawa: Muhongo, Werema, Tibaijuka wafikishwe kortini
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/kafulila-19Jan2015.jpg)
Wakati maazimio nane yaliyotolewa na Bunge kwenye mkutano wa 16 na 17 mwishoni mwa mwaka jana kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha zaidi ya Sh. Bilioni 300 za akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yakiwa hayajatekelezwa yote, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema watu waliofikishwa mahakamani katika sakata hilo ni dagaa tu na kwamba kambare (vigogo) wanaendelea kutanua.
Aidha, wabunge...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s72-c/tibaijuka.jpg)
PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s400/tibaijuka.jpg)
MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.
Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Vita ya Sendeka, Muhongo yakolea bungeni
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
Vijimambo25 Nov
Muhongo ahusishwa wizi nyaraka za Escrow bungeni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Muhongo-November25-2014.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, ametajwa kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja kati ya vijana wawili wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuiba kutoka Ofisi ya Katibu wa Bunge ripoti ya ukaguzi wa hesabu za zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Ukaguzi huo ulifanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Lema, Nassari wadai watamtoa Muhongo bungeni kwa mabavu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--jgByM-JNLk/VHcbYo_0YAI/AAAAAAADJEI/id540-anuDQ/s72-c/1.jpg)
Ufafanuzi Wa Serikali Uliyotolewa Leo Bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo
![](http://1.bp.blogspot.com/--jgByM-JNLk/VHcbYo_0YAI/AAAAAAADJEI/id540-anuDQ/s1600/1.jpg)
Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.
Kauli ya Prof Muhongo inakuja siku moja baada ya Kamati ya PAC kuwasilisha ripoti...