Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tibaijuka: Mimi na Muhongo ni majembe ya JK

mtanzaniadaily.2indd

Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam,
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema hatojiuzulu kwa sababu kufanya hivyo si fasheni.
Pamoja na kauli hiyo, pia ameweka bayana kuwa yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete katika kumsaidia kufanya kazi.
Kauli ya Profesa Tibaijuka imekuja siku chache baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka, Muhongo wakosekana bungeni

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka wameshindwa kuhudhuria vikao vya Bunge vinavyoendelea mjini Dodoma tangu vilipoanzia kutokana na sababu mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

Ukawa: Muhongo, Werema, Tibaijuka wafikishwe kortini

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.
Wakati maazimio nane yaliyotolewa na Bunge kwenye mkutano wa 16 na 17 mwishoni mwa mwaka jana kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha zaidi ya Sh. Bilioni 300 za akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yakiwa hayajatekelezwa yote, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema watu waliofikishwa mahakamani katika sakata hilo ni dagaa tu na kwamba kambare (vigogo) wanaendelea kutanua.

Aidha, wabunge...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI PROFESA TIBAIJUKA NISINGEFUMBIA MACHO UOZO HUU KATIKA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Kwako Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka.
Najua bado hujatulia kutokana na ziara ya kushtukiza ya Mbunge wa Kawe, Halima Mdee jimboni kwako, Muleba Kusini ambapo amemwaga ‘upupu’ kwa wapiga kura wako. Sijui lengo la ziara yake jimboni kwako ni nini lakini leo sitaki kuzungumzia hilo. Pamoja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi

MUHONGO

* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri

*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Musoma

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.

Pamoja na mambo mengine, Muhongo...

 

10 years ago

Vijimambo

NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA

Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza, kombe la mshindi wa pili kwa walipa kodi wakubwa nchini wakati wa maadhimisho ya nane ya siku ya mlipa kodi iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Vodacom imeongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini.Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi watatu bora wakubwa walipa kodi kutoka kushoto ni Meneja wa masuala...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI MUHONGO, NISINGEKUBALI KUWEKWA KIPORO MUDA WOTE HUO

Profesa Sospeter Muhongo. Kwako mheshimiwa, Profesa Sospeter Muhongo.
Nilizungumza nawe kupitia ukurasa huuhuu mara ya kwanza, nikakueleza ujumbe wangu ambao najua hukuupokea vizuri japo lengo langu lilikuwa ni kukusaidia uepukane na hii kadhia inayoendelea kukukuta sasa. Kwa mara nyingine nataka kuzungumza nawe kwani naamini wewe si sikio la kufa. Najua unapitia kipindi kigumu sana tangu kuibuka kwa sakata la mabilioni ya...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kwako mheshimiwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Najua hunifahamu na hakuna mazingira yanayoweza kunikutanisha na wewe na ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako, ambao najua hutaufurahia. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Juni 25, 1954 huko Musoma kama wewe. Mimi si msomi mwenye ‘CV’ ya nguvu na kubobea kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)Ukumbi wa Diamond Jubilee ukiwa umefurika Wazee waliokuja kumsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Ukumbi ulifurika kila kona.
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...

 

10 years ago

GPL

MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI

Waziri wa Madini na Nishati, Profesa Sospeter Muhongo. WABUNGE kwa pamoja wamekubaliana kuondoa maazimio 12 yaliyoletwa bungeni na Kamati ya PAC na kuleta maazimio mapya 8 ambayo yamekubaliwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema. Mojawapo ya maazimio hayo ni Mamlaka ya uteuzi kutakiwa iwawajibishe na kushauriwa kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo, Mwanasheria… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani