Tibaijuka: Mimi na Muhongo ni majembe ya JK
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam,
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema hatojiuzulu kwa sababu kufanya hivyo si fasheni.
Pamoja na kauli hiyo, pia ameweka bayana kuwa yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete katika kumsaidia kufanya kazi.
Kauli ya Profesa Tibaijuka imekuja siku chache baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Tibaijuka, Muhongo wakosekana bungeni
10 years ago
Vijimambo19 Jan
Ukawa: Muhongo, Werema, Tibaijuka wafikishwe kortini
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/kafulila-19Jan2015.jpg)
Wakati maazimio nane yaliyotolewa na Bunge kwenye mkutano wa 16 na 17 mwishoni mwa mwaka jana kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha zaidi ya Sh. Bilioni 300 za akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yakiwa hayajatekelezwa yote, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema watu waliofikishwa mahakamani katika sakata hilo ni dagaa tu na kwamba kambare (vigogo) wanaendelea kutanua.
Aidha, wabunge...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TgHj0KqUN*u-NCsR42vjj1KckBb72VSK-vrkWhxkkmMX7LB2ggNt5pKfc9TtuF-p0P7gOprP38*GuLTlQDRqoAqB45bTvLTg/tudi.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI PROFESA TIBAIJUKA NISINGEFUMBIA MACHO UOZO HUU KATIKA ARDHI
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi
* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri
*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Musoma
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.
Pamoja na mambo mengine, Muhongo...
10 years ago
Vijimambo22 Nov
NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA
![](http://api.ning.com/files/dM6a4AYRwJO0WWziC7ef9awx*iVnDebyc6V-WHXsUle7U6eqVNBgArksEKhGTCTKI65sut9gW87*TAKmYsr06C0EyQliCa6S/3001.KODI.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/dM6a4AYRwJOmZirhaAxIihVuqQojy*NAJRkn-zgieHx0b0Yn7BYFK0TA6jM0tqsZxb2fJiUfQOtEcpzNf1wsUdtOLkLuU9jq/5003.KODI.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8XVY6ksLHfzYklEKf53ugsiESUISzTYRU-lx6uYJWJJff1EG1reyYAuvUUje*mBi5Gjw7L3R-2hF2lSwIWbO1P1/ProfSMuhongo.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI MUHONGO, NISINGEKUBALI KUWEKWA KIPORO MUDA WOTE HUO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJO91KVwNcx-INT*-g*e87Ic*jgnnG8xy-W2kblNc3BtRmODLeBgMsKzqOnB3DhCe6WfJEorBRCUMcCxTSjisdyz/profmuhongo.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI