Chozi hupenda amani
CHOZI ni moja ya jamii za ndege wanaopatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki. Chozi pamoja na ndege mwingine ajulikanaye kwa jina la Kiingereza Spiderhunte, wanatengeneza familia ya Nectariniidae....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Pomboo hupenda kucheza na binadamu
KAMA tulivyoahidiana wiki iliyopita, hii itakuwa ni sehemu ya mwisho katika awamu ya kwanza na simulizi kuhusiana na samaki mnyama pomboo. Pamoja na haya tutakayoyaeleza leo, bado kuna mambo mengine...
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Hayatou hupenda kufanya mambo kimyakimya
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Mjasiriamali hupenda kujivunia kile alichokifanya
11 years ago
Mwananchi08 Aug
VYAKULA: Wengi hupenda nyama lakini wataalam wanatahadharisha
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Bongo Movies28 Jan
Dotnata Amwaga Chozi ‘Lokesheni’
Mwigizaji mkongwe wa filamu za kibongo, Illuminata Posh maarufu kama Dotnata, amesema alitoa machozi wakati akirekodi sinema inayohusu unyanyasaji wanaofanyiwa watoto wadogo, hasa alipobaini ukweli kuwa wanakosa mtetezi hata wa kuweza kuhisi mateso wanayokutana nayo.
“Watoto wanapata mateso sana kutoka kwa jamii inayowazunguka, wakipoteza wazazi au familia ikifarakana, wanaoumia zaidi ni wao kwani huingia mitaani na kuwa ombaomba, wanajiingiza kwenye wizi, ukahaba na ushoga. Wanafanya haya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4z0WhgNa1*D4BZ1G4*2uS*kf3K30TN2wElkjxKp2ZJ*06pcaDR1mWHhKt0vbcETHVvkdQIn2b*25smtTUTA5l9o/okwi.jpg)
Okwi amwaga chozi akisimulia
9 years ago
Mtanzania21 Nov
KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA
ABUJA, NIGERIA
ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.
Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Chozi la Sendeka ni la kiuzalendo au la mamba?
CHRISTOPHER ole Sendeka, ni mmoja wa wabunge niliokuwa nikiwaamini kuwa wametawaliwa na uzalendo. Hulka ya watu wa kabila lake, Wamasai ya kutokuwa wanafiki, wakiwa wanaipenda na kuiheshimu haki pamoja na...