Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chozi hupenda amani

CHOZI ni moja ya jamii za ndege wanaopatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki. Chozi pamoja na ndege mwingine ajulikanaye kwa jina la  Kiingereza Spiderhunte, wanatengeneza familia ya Nectariniidae....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pomboo hupenda kucheza na binadamu

KAMA tulivyoahidiana wiki iliyopita, hii itakuwa ni sehemu ya mwisho katika awamu ya kwanza na simulizi kuhusiana na samaki mnyama pomboo. Pamoja na haya tutakayoyaeleza leo, bado kuna mambo mengine...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hayatou hupenda kufanya mambo kimyakimya

Issa Hayatou ni mtu ambaye hapendi kuangaziwa sana na vyombo vya habari. Hata hivyo anajulikana kwa kuwa na msimamo mkali.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali hupenda kujivunia kile alichokifanya

Mjasiriamali ni mtu wa kufanya kazi kwa tija. Hawezi kupoteza muda wake pasipo sababu za msingi na pia hapendi kupotezewa muda wake. Mjasiriamali ni mtu mwenye kuona mbali na hutayarisha mikakati yake yenye kuona mbali.

 

11 years ago

Mwananchi

VYAKULA: Wengi hupenda nyama lakini wataalam wanatahadharisha

>Chakula ni dawa, lakini chaweza kuwa sumu pia. Watu wengi wana desturi ya kula ili kufurahi na tumbo lijae. Wakati huo huo ulaji unaweza kuwa chanzo cha matatizo yatakayoathiri mwili, ingawa usafi ulizingatiwa katika maandalizi hadi matumizi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Bongo Movies

Dotnata Amwaga Chozi ‘Lokesheni’

Mwigizaji  mkongwe wa filamu za kibongo, Illuminata Posh maarufu kama Dotnata, amesema alitoa machozi wakati akirekodi sinema inayohusu unyanyasaji wanaofanyiwa watoto wadogo, hasa alipobaini ukweli kuwa wanakosa mtetezi hata wa kuweza kuhisi mateso wanayokutana nayo.

“Watoto wanapata mateso sana kutoka kwa jamii inayowazunguka, wakipoteza wazazi au familia ikifarakana, wanaoumia zaidi ni wao kwani huingia mitaani na kuwa ombaomba, wanajiingiza kwenye wizi, ukahaba na ushoga. Wanafanya haya...

 

10 years ago

GPL

Okwi amwaga chozi akisimulia

Kiungo mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi. Musa Mateja na Martha Mboma
KIUNGO mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi, ameshindwa kujizuia kumwaga machozi wakati akielezea tukio lake la kupigwa kiwiko ‘pepsi’ na beki Aggrey Morris kuwa ni la kikatili na lingeweza kumsababishia hata ulemavu kwa kuwa baada ya kuanguka alimmalizia kwa kumkita teke. Okwi, raia wa Uganda, ameliambia Championi...

 

9 years ago

Mtanzania

KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA

image-7ABUJA, NIGERIA

ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.

Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chozi la Sendeka ni la kiuzalendo au la mamba?

CHRISTOPHER ole Sendeka, ni mmoja wa wabunge niliokuwa nikiwaamini kuwa wametawaliwa na uzalendo. Hulka ya watu wa kabila lake, Wamasai ya kutokuwa wanafiki, wakiwa wanaipenda na kuiheshimu haki pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani