Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHRIS BROWN ASHINDA KESI YA MWANAYE

Mwanamuziki Chris Brown. Houston, Marekani MSANII Chris Brown amefanikiwa kushinda kesi aliyofunguliwa na mzazi mwenzake, Nia Guzaman, aliyekuwa akililia kupata haki zote za kuishi na mtoto wao, Royalty lakini sasa Mahakama ya Houston imeamua wote watalazimika kukaa na mtoto huyo kwa 50%. Mtoto wa  Chris Brown, Royalty. Wazazi hao hawaishi pamoja lakini wote wanakaa mitaa ya Los Angeles. Nia alikuwa akililia haki za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Chris Brown azidi kuonesha mapenzi kwa mwanaye ‘Royalty’ kwenye cover ya album mpya aliyoipa jina la mtoto huyo

Chris Brown ameendelea kuudhihirishia ulimwengu mapenzi ya dhati aliyonayo kwa mwanaye wa kike Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Baada ya kuamua album yake mpya kuipa jina la mwanaye huyo ‘Royalty’, sasa staa huyo wa R&B ametoa cover ya album hiyo yenye picha ya yeye akiwa amembeba mtoto wake anayeonekana amesinzia. Toka Breezy afahamu kuwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake

Pamoja na kupita miaka sita tangu Chris Brown ashtakiwe kwa kosa la kumpiga Rihanna, bado kesi hiyo imeendelea kumgharimu muimbaji huyo wa ‘Loyal’ Chris amelazimika kuahirisha ziara yake ya muziki iliyopewa jina ‘Between The Sheets’ iliyokuwa ianze Jumanne hii ili kumalizia saa 100 zilizosalia kwenye adhabu aliyopewa ya kufanya kazi za kijamii kwa saa 1,000. […]

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]

 

9 years ago

GPL

CHRIS AMTUMIA MWANAYE KWENYE ALBAMU MPYA

Staa wa Kibao cha New Flame, Chris Brown. New York, Marekani
STAA wa Kibao cha New Flame, Chris Brown, ameamua kumtumia mwanaye wa kike, Royalty kwenye ‘cover’ ya albamu yake mpya aliyoipa jina hilo pia ambayo anatarajiwa kuiachia Novemba 27, mwaka huu.Chris, 26, ameonekana akiwa amembeba kifuani mwanaye huyo mwenye umri wa mwaka mmoja ambapo wote walikuwa hawajavaa nguo za juu na kila mmoja akiwa amesinzia. ...

 

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI

Johnson LukazaMwesigwa Lukaza 

Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti  wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown — Zero

Msanii Chris Brown ameachia wimbo mpya mwingine unaitwa “Zero” utakaokuepo kwenye Album yake mpya ambayo inategemewa kutoka hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Music: Chris Brown – Fine By Me

breezy-smile

Recently, he announced a new release date of Dec. 18 for Royalty. Although loyalists of Team Breezy will have to wait a bit longer, he’s promised to make the album available for pre-order on Black Friday (Nov. 27). Once fans do pre-order the project, they’ll get to hear “Fine By Me.”

The track channels similar vibes Brown has been feeling lately on his previous songs. It’s part ’80s nostalgic and part EDM, which all ties together with a soaring hook.

Jiunge na Bongo5.com...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani