Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christian Bella anaamini ‘Nagharamia’ ukipewa ‘airtime’ utakuwa mkubwa

Mkali wa masauti, Christian Bella amekiri wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba ‘Nagharamia’ haupo kwenye mzunguko mzuri kwenye redio kama ilivyotarajiwa na kwamba ukipewa airtime utakuwa mkubwa.

kibella

Akizungumza na Bongo5 leo, Bella alieleza sababu ya kwanini wimbo huo umeshindwa kufanya vizuri kama ilivyotarajiwa ukilinganisha na ukubwa wa wasanii waliomo.

“Ngoma bado haina mzunguko kusema kweli, kwa sababu ilitambulishwa redio moja tu na bado haijakaa bado kwenye promotion,”...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tazama picha za behind the scenes za video ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella

20151221025145 (1)

Alikiba na Christian Bella wameachia video ya wimbo wao wa pamoja ‘Nagharamia’ iliyoongozwa na Enos Olik jijini Nairobi Kenya.

Kwenye video hiyo anaonekana msichana mrembo sana ambaye wawili hao wote anawachanganya.

20151221025145 (1)

Ina kisa kizuri ambacho mwisho wa siku Kiba ndiye anaondoka na mzigo na kumuacha Bella akijichekea tu kwa butwaa. Tazama picha za utengenezaji wa video hiyo hapo chini.

20151221030028

20151221025143 (1)

20151221025143 (2)

20151221025143

20151221025144

20151221025145 (2)

20151221025145 (3)

20151221025145

20151221025150

20151221025926

20151221025959

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

9 years ago

MillardAyo

Tumealikwa kuitazama video mpya ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella hapa !

Ni wimbo wa pamoja wa Alikiba na Christian Bella na video ilifanywa Afrika Kusini… itazame hapa chini alafu tuachie comment yako umeionaje na itawafikia.

The post Tumealikwa kuitazama video mpya ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella hapa ! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

12301240_431794427022691_698500110_n

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.

12301240_431794427022691_698500110_n

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.

“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.

“Itakuwa inasaidia vijana wenye...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Christian Bella — Umefulia

Wimbo mpya wa Christian Bella na Band yake ya Malaika Band unaitwa “Umefulia” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Christian Bella f/ Alikiba — Nagharamia

nagharamia artwork

Christian Bella na Alikiba wameachia collabo yao ‘Nagharamia’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu. Isikilize hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Linah f/ Christian Bella — Hellow

Ngoma mpya ya Linah aliyomshirikisha Christian Bella inaitwa ‘Hellow’

 

10 years ago

Mtanzania

Kitime akosoa muziki wa Christian Bella

KitimeNA GEORGE KAYALA
MKONGWE wa muziki wa dansi nchini, John Kitime, ameukosoa muziki wa mwanamuziki mwenzake, Christian Bella, kwa madai kwamba una mapungufu mengi ya kiufundi.
Kitime alitoa hayo mwishoni mwa wiki, alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, iliyopo Sinza Kijiweni, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, The African na Rai.
Kitime alisema mwanamuziki huyo ana sauti nzuri ya uimbaji, ila muziki wake umekosa vionjo, ndiyo maana unakosa uhai wa muda mrefu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani