Chuo cha IMTU chazuiwa kudahili
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesitisha udahili wa wanafunzi wapya katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matatibu na Teknolojia (IMTU) kilichopo Mbezi Beach, Dar es Salaam kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii26 Sep
Chuo Kikuu IMTU chafungiwa kudahili wanafunzi
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha udahili wa wanafunzi wapya katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU),kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015.
Hatua hiyo imefuatia chuo hicho kujiendesha chini ya viwango vya udhibiti vilivyowekwa kwa mujibu wa sheria, hivyo kimepewa notisi ya miezi mitatu kurekebisha mapungufu yake.
Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU, Frofesa Magishi Mgasa, alisema kwa kuzingatia kifungu namba 5(1) (b), (h), (j) na (l) cha Sheria ya vyuo ...
10 years ago
MichuziSERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO CHA KIMATAIFA CHA TIBA NA TEKNOLOJIA IMTU (IMTUSO), YAOMBA CHUO CHAO KISIFUNGWE
Na Dotto Mwaibale
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia IMTU wameiomba Tume ya Vyuo...
10 years ago
GPLSERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO CHA KIMATAIFA CHA TIBA NA TEKNOLOJIA IMTU (IMTUSO), YAOMBA CHUO CHAO KISIFUNGWE
 Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia IMTU (IMTUSO), Meekson Mambo. Makamu wa Rais IMTUSO, Walter Nnko.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OnStFdgH1zkv9aVEYl43-GJWPXLZZwn1HYijVWOyZzs-gEmGjLcC19IqCv1cQFp6a5o7AlCFPqVnuVCDOttrqcZ/IMG20141223WA0003.jpg)
MAHAFALI YA CHUO CHA IMTU YAFANA
Wahitimu wa Chuo cha IMTU kilichopo Mbezi beach wakiwa kwenye mahafali. Wahitimu hao wakila kiapo. Ndugu wa wahitimu wakifuatilia mahafali hayo kwa karibu…
10 years ago
GPL24 Dec
10 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJMhO2ocUeEFMeg1kq1VsPZm3OzMRU07TvStcCXRMNdqYOdphYjJxN0cfR7ldWBmEKbHIzIE1e6lP1xhhdlVQstZ/imtu1.jpg?width=650)
VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI
Washtakiwa wakiwa katika gari la polisi Washtakiwa wakisubiri kuingia mahakamani.…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2apl8hySNxg/U9ZTrvM5tJI/AAAAAAAF7b0/tQMb3hV6Ukc/s72-c/unnamed+(27).jpg)
BREAKING NYUUUZZZZZ: VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI, DPP AWAONDOLEA MASHTAKA
Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) na baadaye kuwaondolea mashitaka kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashtaka ya kushindwa kufukia viungo vya binadamu na kupeleka hati ya kufukia viungo vilivyotumika kufundishia kwa Kampuni Coroner. Vigogo hao ni, Venkat Subbaian (57), Appm Shankar (64), Prabhakar Rao (59) na Dinesh Kumar (27) ambao walisomewa mashtaka yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni,...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya Amali kiitwacho Tilonia, Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa katika siku ya pili ya ziara yake nchni India pamoja na ujumbe aliofuatana nao.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Affani Othman Maalim (kulia) kwa niaba ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania