Clouds Media waadhibiwa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo pamoja na kutoza faini ya takribani Sh milioni 5 kwa kituo cha redio na televisheni cha Clouds, kwa kukiuka kanuni za utangazaji za mwaka 2005.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
10 years ago
Bongo506 Nov
Clouds Media waja na ‘Mjengoni Newsletter’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7YSp-BYISYN7AgxaxDfolKcJCZ9CEOjYEfJ4jVQQgfqsLD7oXoYQNM1U8b2dYDq*17R9VGPZtn8MHImYo-qNzmj/CloudsMedia0041.png?width=750)
11 years ago
Michuzi06 Feb
Clouds Media brings vuMobile to Africa
![Tomas Petru with Clouds Joseph Kusaga](http://www.broadcastprome.com/wp-content/uploads/2014/01/Tomas-Petru-with-Clouds-Joseph-Kusaga.jpg)
10 years ago
Bongo529 Aug
Clouds Media International yafungua ofisi Jamaica
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Clouds Media yang’ara tuzo za ubora
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Clouds Media Group imeendelea kung’ara katika tuzo za ubora na viwango vya bidhaa (superbrands) baada ya majumuisho na uchambuzi wa kina kufanyika.
Tuzo hiyo ya mwaka 2015-16 ilitolewa na Taasisi ya Uchambazi wa Viwango yenye makao makuu London Uingereza.
Utoaji wake kwa kampuni zinazohusikana kutoa huduma na kuzalisha bidhaa umeelezwa unazingatia ushauri wa wataalamu wa masoko na maoni ya watumiaji zaidi ya 600.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5SXAMusHQGw/U9ZUBTTA_iI/AAAAAAAF7cw/zfQzremSg2I/s72-c/unnamed+(1).jpg)
US Embassy Public Affairs Officer Visits Clouds Media
He noted that addition to informing...