Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Clouds Media waadhibiwa

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo pamoja na kutoza faini ya takribani Sh milioni 5 kwa kituo cha redio na televisheni cha Clouds, kwa kukiuka kanuni za utangazaji za mwaka 2005.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka

 

10 years ago

Bongo5

Clouds Media waja na ‘Mjengoni Newsletter’

Kampuni ya Clouds Media Group imeamua kuwa karibu zaidi na wasikilizaji wake kwa kuanzisha newsletter ya kila mwezi itakayokuwa ikiangaza mambo yanayoendelea mjengoni hapo. Maelezo yaliyotolewa na kampuni hiyo yanasema: Clouds Media Group wanakuletea Mjengoni newsletter, kila mwezi pata kujua undani wa kile kinachotokea ndani ya Clouds, kuanzia vipindi vyetu, watangazaji, uandaaji wa vipindi mbalimbali. […]

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

Clouds Media brings vuMobile to Africa

OTT solutions provider Visual Unity Global is expanding its vuMobile platform into Africa after signing a new partnership agreement with Tanzanian media conglomerate Clouds Media. Tomas Petra (l) of Visual Unity with Joseph Kusaga of Clouds Media. Designed to rapidly mobilise mobile businesses and empower partners and resellers, the vuMobile platform will be white labelled, allowing subscribers to create mobile optimised websites in a fast and effective way, under the Clouds Media...

 

10 years ago

Bongo5

Clouds Media International yafungua ofisi Jamaica

Clouds media International yenye makao yake makuu Abu Dhabi, imefungua ofisi mpya huko Kingston Jamaica zitakazohudumia ukanda wa Caribbean na kufungua fursa za kibiashara kwa kampuni tanzu za Clouds Media. Ufunguzi wa ofisi mpya nchini Jamaica unakuja ikiwa hata mwaka mmoja haujapita toka Clouds Media International ilipofungua ofisi zake Abu Dhabi. Mkurugenzi mtendajib wa Clouds […]

 

10 years ago

Mtanzania

Clouds Media yang’ara tuzo za ubora

rugeNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Clouds Media Group imeendelea kung’ara katika tuzo za ubora na viwango vya bidhaa (superbrands) baada ya majumuisho na uchambuzi wa kina kufanyika.
Tuzo hiyo ya mwaka 2015-16 ilitolewa na Taasisi ya Uchambazi wa Viwango yenye makao makuu London Uingereza.
Utoaji wake kwa kampuni zinazohusikana kutoa huduma na kuzalisha bidhaa umeelezwa unazingatia ushauri wa wataalamu wa masoko na maoni ya watumiaji zaidi ya 600.
Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

CloudsFM

Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.

Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...

 

11 years ago

Michuzi

US Embassy Public Affairs Officer Visits Clouds Media

On July 28, 2014 U.S. Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer visited Clouds Media Offices and Studios in Dar es Salaam. She was welcomed by Clouds Media’s Director - Programs and Production Mr. Ruge Mutahaba and Head of TV – Production Mr. Ramadhani Bukini who briefed her about various programs and campaigns being undertaken by the Media group through its radio and television stations; Clouds FM (88.5FM), Choice FM (102.5) and Clouds TV.
He noted that addition to informing...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani