Coronavirus: Jimbo la California lawaamuru watu kubaki nyumbani kudhibiti maaambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-4G6eLR3ytao/XnRqZjVIxqI/AAAAAAALkfw/joBF3qQfVHce6oDQ6mkJ8MiRlBe0PDvjwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111367648_accaa6e6-cda0-42ee-a9a9-1fb7db72754f.jpg)
Jimbo la California limewaamuru wakazi wake "kukaa nyumbani" huku likijaribu kudhibiti maambukizi ya coronavirus katika jimbo hilo maarufu zaidi nchini Marekani.
Govana Gavin Newsom aliwaambia wakazi wa California kuwa watatakiwa kuondoka majumbani mwao tu wakati ni muhimu wakati wa mlipuko wa virusi vya corona.
Awali alikadiria kuwa zaidi ya watu milioni 40 katika jimbo lake wanaweza kupata maambukizi ya virusi vya Covid-19 katika miezi miwili ijayo.
Virusi vya corona tayari vimewaua watu 205...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jimbo la California lawaamuru watu kubakii nyumbani kudhibiti maaambukizi
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Mshangao nyumbani kwa walioua watu California
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Jimbo la California kukabiliana na ukame
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aQ0r560fSko/VM5efp_b-1I/AAAAAAAABNk/K7CePIHSvFI/s72-c/CCM%2BGeneral%2BMeeting%2B030715-001.jpeg)
5 years ago
CNBC05 Mar
California announces first coronavirus death, bringing US fatalities to at least 11
5 years ago
CNBC08 Mar
Salesforce asks employees in California to work remotely in March due to coronavirus
5 years ago
The Guardian20 Mar
Coronavirus live updates: California governor issues statewide 'stay at home' order as Italy deaths pass China
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Rais Yoweri Museveni awaonyesha Waganda jinsi ya kufanya mazoezi ya nyumbani kudhibiti maambukizi
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Rwanda imefunga shule zote kudhibiti virusi