Mshangao nyumbani kwa walioua watu California
Mawakili wanaoiwakilisha familia ya wanandoa wawili walioua watu 14 mjini San Bernardino, California wamesema jamaa za wawili hao wamejawa na mshangao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4G6eLR3ytao/XnRqZjVIxqI/AAAAAAALkfw/joBF3qQfVHce6oDQ6mkJ8MiRlBe0PDvjwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111367648_accaa6e6-cda0-42ee-a9a9-1fb7db72754f.jpg)
Coronavirus: Jimbo la California lawaamuru watu kubaki nyumbani kudhibiti maaambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-4G6eLR3ytao/XnRqZjVIxqI/AAAAAAALkfw/joBF3qQfVHce6oDQ6mkJ8MiRlBe0PDvjwCLcBGAsYHQ/s640/_111367648_accaa6e6-cda0-42ee-a9a9-1fb7db72754f.jpg)
Govana Gavin Newsom aliwaambia wakazi wa California kuwa watatakiwa kuondoka majumbani mwao tu wakati ni muhimu wakati wa mlipuko wa virusi vya corona.
Awali alikadiria kuwa zaidi ya watu milioni 40 katika jimbo lake wanaweza kupata maambukizi ya virusi vya Covid-19 katika miezi miwili ijayo.
Virusi vya corona tayari vimewaua watu 205...
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jimbo la California lawaamuru watu kubakii nyumbani kudhibiti maaambukizi
Serikali inakadiria kuwa karibuni virusi vya corona vitawaathiri zaidi ya nusu ya watu milioni 40 wa jimbo lake
10 years ago
Bongo507 Dec
Watu 2 wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema, ni mafundi wake waliodaiwa kuiba
Nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi. Wema akiwa ndani kwake Akizungumza na Bongo5 jana, jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya […]
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Ebola:Watu kusalia nyumbani S:Leone
Serikali inatafakari kutangaza awamu nyingine ya amri ya kutotoka nje kote nchini ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa hatari wa Ebola.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUR5rWge8XcobbEHKsfVMTta86F43eXEiep1T25Ey6gN5NBRh*BVGcklOYPzOhD*y2qvlvnqdsjQw5jLGU-pNR4l/MAHUBIRI.jpg?width=650)
MSHANGAO
Stori: Mwandishi wetu
Ikiwa ni miezi miwili imepita tangu huduma ya Mtume Lesego Daniel wa nchini Afrika Kusini ya Rabboni Ministries Centre kuwa maarufu duniani baada ya waumini wake kula nyasi kama moja ya namna ambavyo roho mtakatifu alivyowaongoza, sasa waumini hao wamegeukia majani. Katika hali ya kustaajabisha waumini wakila majani wakiamini ndiyo tiba ya magonjwa yao. Imefahamika kuwa wamekuwa wakitumia njia hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh4.googleusercontent.com/-k5JrO3P8HWs/VPundSIrxbI/AAAAAAAABPI/p9ExBlnjTSc/s72-c/blogger-image--1252477759.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH2yRSxr7TnVoOACoQzjEzWVj4lZ40LO*7S1-3rLrjSoU1-PgGW5SidcizTQo4aHmIp7DPq3DMhWW3G4oWQMF2Ce/miss.jpg)
MSHANGAO MISS TANZANIA 2014
Na Erick Evarist
Mshtuko! Siku chache baada ya kutwaa Taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu ameibua mshangao wa aina yake kutokana na utata wa umri wake, Ijumaa limesheheni data. Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu akionesha cheti mara baada ya kuhitimu masomo. Utata huo uliibuka saa chache mara baada ya shindano hilo kufanyika Oktoba 10, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar ambapo...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mzee Kingunge ameniacha na mshangao
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alipoamua kuachana na chama hicho yaliibuka maswali mengi kuliko majibu na hata Profesa Ibrahim Lipumba alipoukataa wadhifa wake wa uenyekiti Taifa wa CUF kwa sababu tu Edward Lowassa amepitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais, pia watu walihoji.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T85m6vlaQos/VUSJ7TT1O2I/AAAAAAABNK0/NNYhdfBDo7I/s72-c/11200605_977266418984073_4328749233319315744_n.jpg)
ALI KIBA AVAMIWA NYUMBANI KWAKE NA WATU WANAODHANIWA KUWA NI MAJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-T85m6vlaQos/VUSJ7TT1O2I/AAAAAAABNK0/NNYhdfBDo7I/s1600/11200605_977266418984073_4328749233319315744_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HYoBJ-Y7_sQ/VUSJ740SXxI/AAAAAAABNK8/Fx1tD2zUBHU/s1600/11109203_977266338984081_5252907229101619459_n.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania