Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSHANGAO

Stori: Mwandishi wetu
Ikiwa ni miezi miwili imepita tangu huduma ya Mtume Lesego Daniel wa nchini Afrika Kusini ya Rabboni Ministries Centre kuwa maarufu duniani baada ya waumini wake kula nyasi kama moja ya namna ambavyo roho mtakatifu alivyowaongoza, sasa waumini hao wamegeukia majani. Katika hali ya kustaajabisha waumini wakila majani wakiamini ndiyo tiba ya magonjwa yao. Imefahamika kuwa wamekuwa wakitumia njia hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHANGAO MISS TANZANIA 2014

Na Erick Evarist
Mshtuko! Siku chache baada ya kutwaa Taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu ameibua mshangao wa aina yake kutokana na utata wa umri wake, Ijumaa limesheheni data. Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu akionesha cheti mara baada ya kuhitimu masomo. Utata huo uliibuka saa chache mara baada ya shindano hilo kufanyika Oktoba 10, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar ambapo...

 

9 years ago

Mwananchi

Mzee Kingunge ameniacha na mshangao

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa alipoamua kuachana na chama hicho yaliibuka maswali mengi kuliko majibu na hata Profesa Ibrahim Lipumba alipoukataa wadhifa wake wa uenyekiti Taifa wa CUF kwa sababu tu Edward Lowassa amepitishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais, pia watu walihoji.

 

10 years ago

GPL

KICHENI PATI YA LUCY KOMBA MSHANGAO!

Stori: Imelda Mtema
NI mshangao! Sherehe ya kicheni pati ya staa wa filamu Bongo, Lucy Komba imewashangaza waalikwa wengi baada ya kutawaliwa na vitu vingi vya kiasili tofauti na matarajio ya wengi. Staa wa filamu Bongo, Lucy Komba. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta jijini Dar ambapo mbali na watu wa kawaida, wake wa viongozi mbalimbali nchini pamoja na baadhi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshangao nyumbani kwa walioua watu California

Mawakili wanaoiwakilisha familia ya wanandoa wawili walioua watu 14 mjini San Bernardino, California wamesema jamaa za wawili hao wamejawa na mshangao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani