Jimbo la California kukabiliana na ukame
Serikali ya jimbo la California nchini Marekani imetoa amri ya kudhibiti matumizi ya maji ili kukabiliana na ukame.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aQ0r560fSko/VM5efp_b-1I/AAAAAAAABNk/K7CePIHSvFI/s72-c/CCM%2BGeneral%2BMeeting%2B030715-001.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4G6eLR3ytao/XnRqZjVIxqI/AAAAAAALkfw/joBF3qQfVHce6oDQ6mkJ8MiRlBe0PDvjwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111367648_accaa6e6-cda0-42ee-a9a9-1fb7db72754f.jpg)
Coronavirus: Jimbo la California lawaamuru watu kubaki nyumbani kudhibiti maaambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-4G6eLR3ytao/XnRqZjVIxqI/AAAAAAALkfw/joBF3qQfVHce6oDQ6mkJ8MiRlBe0PDvjwCLcBGAsYHQ/s640/_111367648_accaa6e6-cda0-42ee-a9a9-1fb7db72754f.jpg)
Govana Gavin Newsom aliwaambia wakazi wa California kuwa watatakiwa kuondoka majumbani mwao tu wakati ni muhimu wakati wa mlipuko wa virusi vya corona.
Awali alikadiria kuwa zaidi ya watu milioni 40 katika jimbo lake wanaweza kupata maambukizi ya virusi vya Covid-19 katika miezi miwili ijayo.
Virusi vya corona tayari vimewaua watu 205...
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jimbo la California lawaamuru watu kubakii nyumbani kudhibiti maaambukizi
Serikali inakadiria kuwa karibuni virusi vya corona vitawaathiri zaidi ya nusu ya watu milioni 40 wa jimbo lake
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Tanzania kukumbwa na ukame
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za masika hazitarajiwi kuwa za kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi.
10 years ago
Habarileo04 Mar
TMA: Ni mwaka wa ukame
HALI ya ukame inatarajiwa kukabili nchi kutokana na upungufu wa mvua utakaoathiri pia upatikanaji wa nishati ya umeme.
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Nchi kukumbwa na ukame
>Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwelekeo wa mvua za masika katika kipindi cha Machi mpaka Mei na kusema kuwa hali ya mvua haitarajiwi kuwa ya kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
TANZANIA YAKABILIWA NA UKAME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s640/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4H2OcehGbA/VXACmF7ruFI/AAAAAAAHb28/SCq-iyJxlGw/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Ukame wa magoli wamuandama Suarez
Suarez aeleza kutofurahishwa na kitendo cha kutozifumania Nyavu na kung'ara kwa mambo msimu huu. Anasema ukame umekithiri
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Ukame mkali wanyemelea Ethiopia
Umoja wa mataifa umesema juhudi kubwa za msaada kimataifa zinahitajika nchini Ethiopia kuzuia janga la kibinadamu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania