Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Kwanini idadi ndogo ya watoto ndio wanaopata virusi hivi?

Mtoto alipozaliwa nchini Uchina na kupatikana na virusi vya corona wiki iliyopita, hilo liligonga vichwa vya habari. Lakini visa vya watoto kuambukizwa virusi hivi ni nadra sana wakati kuna visa zaidi ya 40,000 ambavyo vimethibitishwa. Kwanini?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?

Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini dunia inaitegemea India kutengeneza chanjo ya virusi hivi?

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo wiki mobile zilizopita alisema kuwa India na Marekani zinafanya Kazi pamoja kutengeneza chanjo ya kukabiliana na virus cya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Fahamu kwanini idadi ya vifo vya coronavirus iko juu Italy?

Mlipuko wa virusi vya corona unaendelea kuliathiri pakubwa taifa la Itali, huku hospitali zikishindwa kumudu idadi ya maambukizi mbali na kuwekwa kwa sheria ya kutotoka nje.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani ina idadi ndogo zaidi ya watoto duniani

Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Ujerumani imepungua zaidi ya mataifa yote duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi walioambukizwa virusi vya corona yaongezeka Rwanda

Wizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda

Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Virusi ni nini na kwanini vinahatarisha maisha ya wahudumu wa afya?

Katika kukabiliana na Covid-19, wahudumu wa afya ndio walio katika hatari zaidi na wengi wao wanakufa. Kwanini?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: 'Hivi virusi vinatoka nchi zote'

Raia wa nchi jirani ya Tanzania wamepokeaje tangazo hilo?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je unazijua habari njema kuhusu virusi hivi?

Dawa za kukabiliana na virusi zimependekezwa na watafiti kutoka Chuo kikuu cha Ural Federal, Urusi kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani