Coronavirus: Kwanini idadi ndogo ya watoto ndio wanaopata virusi hivi?
Mtoto alipozaliwa nchini Uchina na kupatikana na virusi vya corona wiki iliyopita, hilo liligonga vichwa vya habari. Lakini visa vya watoto kuambukizwa virusi hivi ni nadra sana wakati kuna visa zaidi ya 40,000 ambavyo vimethibitishwa. Kwanini?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?
Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Kwanini dunia inaitegemea India kutengeneza chanjo ya virusi hivi?
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo wiki mobile zilizopita alisema kuwa India na Marekani zinafanya Kazi pamoja kutengeneza chanjo ya kukabiliana na virus cya corona
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Fahamu kwanini idadi ya vifo vya coronavirus iko juu Italy?
Mlipuko wa virusi vya corona unaendelea kuliathiri pakubwa taifa la Itali, huku hospitali zikishindwa kumudu idadi ya maambukizi mbali na kuwekwa kwa sheria ya kutotoka nje.
10 years ago
BBCSwahili30 May
Ujerumani ina idadi ndogo zaidi ya watoto duniani
Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Ujerumani imepungua zaidi ya mataifa yote duniani.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Idadi walioambukizwa virusi vya corona yaongezeka Rwanda
Wizara ya afya nchini Rwanda imesema kuwa watu wengine wawili wamepatikana na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda
Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Coronavirus: Virusi ni nini na kwanini vinahatarisha maisha ya wahudumu wa afya?
Katika kukabiliana na Covid-19, wahudumu wa afya ndio walio katika hatari zaidi na wengi wao wanakufa. Kwanini?
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: 'Hivi virusi vinatoka nchi zote'
Raia wa nchi jirani ya Tanzania wamepokeaje tangazo hilo?
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Coronavirus: Je unazijua habari njema kuhusu virusi hivi?
Dawa za kukabiliana na virusi zimependekezwa na watafiti kutoka Chuo kikuu cha Ural Federal, Urusi kuwatibu wagonjwa wenye virusi vya corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania