Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Makatazo mapya katika maeneo ya burudani na usafiri Kenya

Serikali ya Kenya yaweka idadi ya abiria, muda wa kufunga sehemu za burudani na idadi ya wanaoingia maduka makubwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya

Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.

 

5 years ago

CCM Blog

KENYA YAPIGA MARUFUKU USAFIRI KATIKA MIJI ILIYOATHIRIKA NA VIRUSI VYA CORONA

  Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta jana ametangaza kusitishwa kwa safari zote katika maeneo yaliyoathirika na virusi vya corona nchini humo. 
Katika hotuba aliyoitoa , Kenyatta ametaka kusitishwa kwa usafiri wote wa umma kwa njia ya barabara, reli na hata ndege katika kaunti ya Nairobi, Mombasa, Kilifi na Kwale kwa siku ishirini na moja ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona. 
Marufuku hayo yameanza kutekelezwa jana saa moja jioni  huko Nairobi na kuanzia siku ya Jumatano huko Mombasa,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: 'Kilichonipata katika wodi ya karantini Kenya'

Kadiri nilivyosubiri kufanyiwa vipimo ndivyo nilivyozidi kubabaika.

 

10 years ago

Dewji Blog

NEWS ALERT!!! Mgomo wa madereva tena hali tete Ubungo na baadhi ya maeneo usafiri kizungumkuti!!

moshi-640x360

Eneo la Ubungo ambalo kwa sasa mabasi yamegoma abiria wakiwa hawana la kujua nini la kufanya !!!!! taaarifa na picha zaidi zitaendelea kutolewa na mtandao huu ambao upo eneo la tukio!!.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

New Alert Mgomo wa madereva Saga! ni kuwa tayari madereva wa mabasi wamegoma tena siku ya leo Mei 4, kutokana na mashiniko mbalimbali ya madai yao kwa Serikali. Hata hivyo hali kwa Ubungo bado ni tete licha ya vulumai ya hapa na pale ikiwemo askari wa usalama barabarani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamia wakosa usafiri Kenya.Kunani?

Mamia ya watu wamelazimika kutembea kwa miguu kuelekea kazini huku magari mengi ya uchukuzi wa umma yakizuiwa kuingia barabarani kutokana na kukosa vidhibiti mwendo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya:Kuzuia usafiri wa usiku sio haki

Mahakama nchini Kenya imesema kuwa agizo la serikali ya Kenya kuzuia usafiri wa usiku wa magari ya abiria ili kuzuia ajali za barabarani linakiuka haki

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani