Coronavirus: Ni lini Chanjo ya corona itapatikana?
Shirika la afya duniani lilisema kuwa chanjo dhidi ya corona itatengenezwa katika kipindi cha miezi 18.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Bado naamini chanjo ya VVU itapatikana
Jumatatu wiki hii ilikuwa ni siku ya kuhamasisha chanjo duniani. Moja ya chanjo ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa duniani ni ya kujikinga na Virusi Vya Ukimwi (VVU).
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
Kikundi cha vijana wenye afya nzuri mjini Seattle wamedungwa virusi kwa ajili ya kufanyiwa utafiti wa chanjo
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je kinga ya virusi vya corona itaziba pengo la chanjo kati ya nchi tajiri na maskini?
"Changamoto itakuwa ni kuhakikisha kwamba kuna chanjo ya kutosha kwa watu anaohitaji kutoka nchi tajiri lakini pia kwa nchi maskini vilevile."
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzD7-kwIPgg/XsPLZtWGCiI/AAAAAAALqw0/vjBiZMmJWdYjQBkt5Jsa9OxtJmNN6dQVACLcBGAsYHQ/s72-c/9fcab2c6-8c9d-40fe-b2bd-70fec1ca132d.jpg)
LICHA YA JANGA LA CORONA, HUDUMA ZA CHANJO NA UFUATILIAJI WA MAGONJWA YANAYOZUILIKA KWA CHANJO ZAENDELEA KWA UANGALIFU MKUBWA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzD7-kwIPgg/XsPLZtWGCiI/AAAAAAALqw0/vjBiZMmJWdYjQBkt5Jsa9OxtJmNN6dQVACLcBGAsYHQ/s640/9fcab2c6-8c9d-40fe-b2bd-70fec1ca132d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/c755576d-f501-423f-9aed-c746dc135fad.jpg)
Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo...
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Watu watarejea lini katika hali ya kawaida?
Changamoto kubwa ambayo dunia inakabiliana nayo katika kukabiliana na mlipuko wa corona.
5 years ago
CCM Blog19 Mar
WHO: MAJARIBIO CHANJO YA COVID-19 (CORONA) YAMEANZA
![WHO: Majaribio ya chanjo ya COVID-19 (Corona) yameanza](https://media.parstoday.com/image/4bppab3963bcce15ayh_800C450.jpg)
Shirika la Afya Duniani limesema siku 60 baada ya sampuli za virusi vya Corona au COVID-19 kuwasilishwa na China, chanjo ya kwanza ya majaribio imeanza.Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema, “haya ni mafanikio makubwa, tunawapongeza watafiti kote duniani ambao wamekuja pamoja ili kutathmini majaribio ya tiba."Ameongeza kuwa WHO na washirika wake wanaandaa utafiti katika nchi nyingi ambako baadhi ya nchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AyrScgJFQLA/Xp_zgL9eyTI/AAAAAAALnxM/1FOR9JL2V201pc5HJZovCVzKQrT9tz1AgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
UINGEREZA KUFANYA MAJARIBIO YA CHANJO YA CORONA WIKI HII
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
CHANJO dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) iliyochakatwa katika Chuo kikuu cha Oxford nchini Uingereza itafanyiwa majaribio kwa mara ya kwanza siku ya Alhamisi wiki hii, katibu wa Afya nchini humo Matt Hancock ameeleza.
Kwa mujibu wa DailyMail imeelezwa kuwa Hancock amesema kuwa chanjo itakua ni njia sahihi ya Kupambana na virusi hivyo.
Chanjo hiyo itafanyiwa majaribio kwa watu wapatao 510 wenye umri kati ya miaka 18 hadi 55 huku ikielezwa kuwa watafiti hao...
5 years ago
BBCSwahili05 May
Jinsi majasusi wanavyohangaika kuiba siri za chanjo ya corona
Mtaalamu aonya hakuna kilicho hatarini zaidi hii leo duniani zaidi ya namna ya kuzuia ugonjwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania