Country Boy azungumzia jinsi Kajala alivyomtoa kimuziki
Rapper Ibrahim Ayoub Mandingo aka ‘Country Boy’ amefunguka siri iliyomfanya kung’aa katika muziki kwa mara ya kwanza kuwa ni sababu ya staa wa filamu, Kajala Masanja aliyemlipia pesa ya kwenda studio. Akizungumza na Global TV, Country Boy alisema Kajala alikuwa msaada mkubwa kwake katika kumwezesha kifedha hivyo anamheshimu. “Mwanzo ulikuwa ngumu kidogo kwa my family […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCOUNTRY BOY: KAJALA ALINITOA KIMUZIKI
11 years ago
Bongo509 Jul
Video: Profesa J azungumzia sababu zinazomfanya aendelee kuwepo vizuri kimuziki
9 years ago
Bongo511 Nov
Music: Mapua Ft Country Boy — Sielewi
![Mapua](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mapua-300x194.jpg)
Rapper anaetambulika kwa jina Mapua ameachia wimbo mpya, Unaitwa “Sielewi”. Amemshirikisha Country Boy Produced by Mo Fire Fire Music.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPLCOUNTRY BOY ATUA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Bongo519 Nov
Music: Yung Sizza Ft Country Boy – Blessed
![Blessed_Artwork](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Blessed_Artwork-300x194.jpg)
Wimbo mpya wa rapper Yung Sizza amemshirikisha Country Boy, Unaitwa “Blessed” Producer Luffa
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo518 Dec
Country Boy: Sina tatizo na Young Dee
![Mtu Chee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mtu-Chee-300x194.jpg)
Rapa wa kundi la Mtu Chee, Country Boy amesema hana tatizo na Young Dee licha ya kupishana lugha miezi michache iliyopita baada ya rapa huyo kujitoa katika kundi hilo.
<img src="http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mtu-Chee.jpg" alt="Mtu Chee" width="640" height="640" class="alignnone size-full wp-image-129808" /0
Country Boy anasema hajawahi kuoongea na Young Dee toka atangaze kuachana na Mtu Chee.
“Sina tatizo na Young Dee, yeye alichagua kufanya kile anachokitaka na sisi...
10 years ago
Bongo512 Jan
New Video: Country Boy Ft SamLov — Nimetoka Mbali
9 years ago
Bongo514 Nov
Country Boy ajiandaa kuachia mixtape mpya, ‘Kama Ulaya’
![12237581_957038871035116_68731880_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237581_957038871035116_68731880_n-300x194.jpg)
Rapper Country Boy amesema ataachia mixtape mpya hivi karibuni.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa mixtape hiyo ameipa jina, Kama Ulaya.
“Idea ya kuita mixtape ‘Kama Ulaya’ imekuja baada ya kuona mimi ni mtu ambaye nilikuwa nafanya mixtape za mbele yaani ngoma za wasanii wa mbele na zime-hit,” alisema. “Mimi nina uwezo wa kubadilisha ngoma yoyote na unaweza kuona kama mixtape ya Bobby Shmurda, Hot Nigga na Kendrick Lamar ambayo nilifanya kwa style zao zile zile na...