Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRDB yaviongezea vyama muda wa kulipa madeni

Benki ya CRDB imetoa mikopo yenye thamani ya Dola za Marekani 42 milioni katika mwaka wa fedha 2012/13 kwa vyama vya msingi vya ushirika 143 vilivyo chini ya Chama Kikuu cha Wakulima wa Tumbaku Kanda ya Magharibi (WETCU).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kulipa madeni ya walimu

Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, imeanza kulipa madeni ya walimu yanayofikia Sh162.1 milioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kulipa madeni ya wakulima wa mahindi

>Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi ameahidi kulipa deni la Sh5.7 bilioni inalodaiwa na wakulima wa mahindi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yapata sh. bilioni 15 za kulipa madeni ya Mahindi

5

SERIKALI Serikali imepata mkopo wa sh. bilioni 15 ambazo zitatumika kulipa kiasi cha madeni ya mazao ya nafaka ambayo wakulima wanaidai kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).

Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa nyakati tofauti wakati akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Iringa akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo katika mkoa huo.

Akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo (SACCOS) cha Mazombe kilichopo Ilula...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataja mikakati ya kulipa madeni ya walimu

SERIKALI imeweka bayana mikakati yake ya kukabiliana na deni la walimu, ambao ni sehemu kubwa ya watumishi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kulipa madeni ya Mfuko wa PSPF

>Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umesema Serikali imeanza kulipa deni lake la Sh6.4 trilioni ililokuwa ikidaiwa na mfuko huo tangu mwaka 2012.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatenga fungu nono kulipa madeni ya walimu

FUNGU nono limetengwa kwa ajili ya walimu wanaodai malimbikizo ya mishahara na masurufu.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATENGA FEDHA KULIPA MADENI YA WATUMISHI YALIYO HAKIKIWA


Na. Farida Ramadhani na Peter Haule, WFM, Dodoma Serikali imesema kuwa imetenga Sh. bilioni 600 kwa ajili ya kulipa madeni yaliyohakikiwa ya Watumishi wa umma kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ikiwa ni moja ya mkakati wa kuleta nidhamu na uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma. Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Bumbwini, Mhe. Muhammed Amour Muhammed, aliyetaka kujua ni lini Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

DC TANDAHIMBA AWATAKA WAKULIMA WALIOKOPA PEMBEJEO KULIPA MADENI YAO

 DC Waryuba akisistiza Jambo kwa wananchi.
 Wananchi wa Kijiji Cha  Mivanga wakimsikiliza DC Waryuba DC Waryuba (katikati) akiwa na wakuu wa Idara katika ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya yake

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amewataka wakulima waliokopa  pembejeo kulipa madeni hayo ili waweze kukopeshwa Tena katika msimu mpya

Hayo ameyasema wakati akijibu swali la mkazi wa Mikuyuni kata ya Nambahu Mkalavachi Mkalavachi kwenye muendelezo wa ziara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani