CSEE, KUTOA ELIMU YA COVID-19 SIKU 15
![](https://1.bp.blogspot.com/-OrX7vNfxooU/XtjOva25ewI/AAAAAAALsmQ/R7KI5rtpaGEKs0WUeiH6n372p4yvr2MTQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0059.jpg)
Na Woinde Shizza, KARATUTAASISI ya Community aid and social education empowerment (CSEE) kwa kushirikiana na Child fund Korea ambao wamejikita katika kusaidia watoto dhidi ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona wametoa msaada wa vifaa venye thamani ya million 40 kwa wilaya ya Karatu.
Msaada huo ni vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona ambavyo ni pamoja na spika za sauti za kusaidia kuelimishia jamii sehemu mbalimbali zenye shughuli zinazokusanya watu wengi kwa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Wadau wa maendeleo Njombe wafika vijijini kutoa elimu dhidi ya Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s640/C.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0b_req1wjJo/XqbgCiLYy6I/AAAAAAALoWM/4M4T-y1pHkYXpDhkJsaMLeHyTnjUI2PewCLcBGAsYHQ/s640/A.png)
Miongoni mwa wadau hao ni Johson Mgimba na Lawi Mnyanga ambao wamefika katika kata ya Madilu wilayani Ludewa mkoani Njombe na kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali kupitia...
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s72-c/kalage.jpg)
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s640/kalage.jpg)
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
CBE, Finland kutoa PhD ya elimu na elimu mazingira
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
10 years ago
Habarileo13 Jan
SMZ kutoa elimu bure
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imefuta ada ya wanafunzi wa shule za msingi, ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya mapinduzi ya kuwapatia wanafunzi wote elimu bure, kama ilivyoasisiwa na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume.
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
TRA Pwani waaswa kutoa elimu
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutoa elimu kwa wafanyabiashara hasa inapotokea mabadiliko katika mfumo wa ulipaji kodi ili kuepusha migogoro ya mara kwa mara kati ya mamlaka hiyo na...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Wakati wa kutoa elimu ya mpigakura ni sasa