CUF: Hatutarudia uchaguzi wa Zanzibar
“Hatuwezi kurudia uchaguzi,†alisema Taslima. “Tunachofahamu ni kuwa uchaguzi umefutwa kinyume na sheria, hivyo ZEC ibatilishe uamuzi wake na kuendelea kutangaza matokeo ya majimbo yaliyobaki ili mshindi ajulikane.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
9 years ago
GPLCUF WAZIDI KUIBANA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR
10 years ago
Mwananchi24 May
cuf,zanzibar,duni,juma,haji,uchaguzi,2015,upinzani,
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GLOo2fF20ec/VZvmjGS3OaI/AAAAAAAHnlY/TvOjjUFntK8/s72-c/am4-430x320.jpg)
TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GLOo2fF20ec/VZvmjGS3OaI/AAAAAAAHnlY/TvOjjUFntK8/s640/am4-430x320.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s72-c/20151028035057.jpg)
TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR YAFUTA UCHAGUZI WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6rb7Y8vxdI/VjCpqi-XZ6I/AAAAAAAIDKQ/wem7bu-7ed0/s640/20151028035057.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-er8jVRkg_7o/VjCprncR3wI/AAAAAAAIDKU/zN8pUewvZ6g/s640/20151028035057q.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MrQnzIPFK1w/VjCpsfCawUI/AAAAAAAIDKg/aahnc4w4iSk/s640/20151028035048z.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
CUF yasikitishwa kuvurugwa uchaguzi
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesikitishwa na kitendo cha Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuvuruga uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa makusudi na kuandaa machafuko kwa kutunga kanuni zisizotekelezeka. Pia...
11 years ago
Habarileo16 Jun
Uchaguzi mkuu CUF waiva
SAFU mpya ya uongozi wa Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) inatarajiwa kupatikana mwezi huu katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo, jijini Dar es Salaam.