CUF wabadili Katiba ili kuungana na Ukawa
>Chama cha Wananchi (CUF), kimefanya mabadiliko ya Katiba yake ikiwa ni maandalizi ya kushirikiana na vyama vingine vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika uchaguzi ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Nape abeza Ukawa kuungana
Siku moja baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais na ubunge majimboni, CCM kimebeza hatua hiyo kikisema viongozi hao hawawezi kukaa zizi moja.
10 years ago
Vijimambo16 Jul
CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/146.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/244.jpg)
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Jun
KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.
10 years ago
TheCitizen16 Jul
CUF: Who says we’ve ditched Ukawa?
Dar es Salaam. The Civic United Front (CUF) yesterday sent conflicting signals saying though it was still an active member of the Coalition of People’s Constitution (Ukawa), the decision on whether it will continue working with the other opposition parties who comprise this grouping would be made by its supreme council.
10 years ago
Habarileo16 Feb
CUF waibipu Ukawa
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49b6JEYFBhcEKt0AnJT67LilA2n4bcJlF0P709QgYj2huL*vIoZ0zjKuV6ayKU*Jzdu64a-4mG0weIikOppV6Oi4/cuf.jpg)
CUF: HATUJAJITOA UKAWA
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema hakikushiriki kikao cha jana cha UKAWA kutokana na sababu za kikatiba za ndani ya chama hicho na si kwamba wamejitoa. Taarifa hiyo imetolewa leo na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Mhe. Magdalena Sakaya aliyesema kuwa kwa sasa wamekuwa na vikao vinavyojadili kwa upana juu ya namna watakavyogawana madaraka endapo wakishinda uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba. Sakaya amesema wanachokifanya ni sawa...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CUF yaiweka Ukawa pagumu
Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa la Chama cha Wananchi (CUF), limeutaka uongozi wa chama hicho kusitisha uamuzi wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia vyama vinavyounda Ukawa hadi suala hilo litakapojadiliwa kikatiba ndani ya chama hicho Julai 25.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania