Daktari aliyetibiwa na Zmapp aaga Liberia
Daktari aliyetibiwa na dawa inayofanyiwa majaribio ya Zmapp nchini Liberia ameaga dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Liberia kufaidi dawa za Zmapp
Jopo la wataalam wa shirika la afya duniani WHO limeamua kuwa watu wanaweza kutumia dawa ambayo hazijajaribiwa ya Zmapp
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Ebola:Daktari aaga Nigeria
Serikali ya Nigeria imethibitisha kutokea kifo cha daktari mmoja kutokana na ugonjwa wa Ebola katika mji wa Port Harcout nje ya mji wa Lagos.
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Daktari mwengine wa Ebola aaga dunia
Ripoti kutoka Sierra Leone zinasema kuwa daktari mwengine amefariki kutokana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Daktari afariki na Ebola Liberia
Idara ya afya nchini Liberia imetangaza kuwa Daktari mmoja wa Ebola amefariki kutokana na viini vya ugonjwa huo.
9 years ago
Mwananchi14 Nov
‘Aliyetibiwa’ na Magufuli kupasuliwa wiki ijayo
Mgonjwa aliyeahidiwa matibabu na Rais John Magufuli, Chacha Makenge amefanyiwa uchunguzi na majibu ya kipimo cha MRI na sasa anasubiri upasuaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
WHO:Ni sawa kutumia dawa za 'Zmapp'
Dawa ambazo bado zinafanyiwa majaribio zinaweza kutumiwa kuwatibu wagonjwa wa Ebola.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola
Watu wengi walikuwa hawaijui dawa hii iliyokuwa katika hatua za majaribio hadi pale wafanyakazi wawili wa mashirika ya afya ya kimataifa, raia wa Marekani walipoambukizwa ebola wakati wakiwasaidia waathirika wa ugonjwa huo katika nchi za Afrika Magharibi.
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
![](http://api.ning.com/files/VFUL0Af-KhryUnOnw60F8fOoSU0ml0IR*ChreIeXLsU33CLcd4dk9-XJzIqf8uI505urdtGDMlQU3lfKh0uFFOtubdWWThwB/ngasa7.jpg)
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Kidunda aaga Madola
Tanzania imeendelea kufanya vibaya kwenye fainali za Jumuiya ya Madola baada ya nahodha wa timu hiyo, bondia Seleman Kidunda kushindwa kufuzu kwa robo fainali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania