Daktari wa Tanzania ang’ara kimataifa
DAKTARI Mtanzania kutoka Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza, Dk Rachel Nungu (27) ameteuliwa kuwa miongoni mwa vijana 60 kutoka Nchi za Jumuiya za Madola watakaopewa Tuzo ya Malkia Elizabeth kwa viongozi wa mfano wenye umri mdogo katika jamii zao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Jan
Tanzania yazidi kung’ara kimataifa
TANZANIA imeendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ya kimataifa, ambapo sasa imeibuka kuwa mshindi kimataifa na kukubaliwa kuanzisha mradi mkubwa wa Kanda ya Kati wa Uchukuzi. Mradi huo utakaohusisha miundombinu ya reli, barabara na bandari unatarajiwa kuanza kutekelezwa wakati wowote nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rlh_AZKF6Gc/XlvTZKMTUkI/AAAAAAALgOc/hSbmzZmklGU8aiDKbxeLAxbUld88DoW4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGL9990-2048x1365.jpg)
Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.
“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga — ICAO
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege. katikati ni Meneja mratibu wa safari za ndege Afrika Frederic Legrand, Kongamano hilo linazihusisha nchi za Afrika linafanyika hapa nchini kwa siku tatu kuanzia leo...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YA DHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N6WFUQDvW7g/VeNuWL0zffI/AAAAAAAH1FQ/dhAyV90CO-k/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Tanzania yang’ara Kimataifa,Asasi yake yatwaa tuzo ya Ikweta 2015 zinazotolewa na Umoja wa Mataifa-UN
Bi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na kupiga vita umaskini.Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni dola za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
‘Shoe Shine’ yang’ara kimataifa
SINEMA ya ‘Shoe Shine’ iliyofyatuliwa mwaka 2013 ikitengenezwa na kuongozwa na Amil Shivji, imeitangaza vema nchi katika tamasha la kimataifa la filamu (Festicab), ililofanyika Burundi kuanzia Juni 13-20. ‘Shoe Shine’...