Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAMPO JIPYA LA KISASA LA KUTUPIA TAKATAKA LINALOJENGWA JIJINI MBEYA

Huu ndiyo muonekano wa dampo hilo la kisasa kwa upande wa juu ambapo ujenzi upo katika hatua za mwishoni.  Hili ni eneo ambapo magari yaliyobeba takataka yatakuwa yanaingia na kumwaga takataka hizo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TPSC yazindua jengo jipya jijini Mbeya

Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani akikata utepe kuzindua jengo jipya litakalotumiwa na TPSC tawi la Mbeya eneo la Soko Matola, jijini hapa, kulia ni Mkuu wa TPSC Said Hamis Nassor na kushoto ni Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga.Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani akishusha pazia kuashiria uzinduzi wa jengo jipya litakalotumiwa na TPSC tawi la Mbeya eneo la Soko Matola, kulia ni Musa Zungira,Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom yaendelea kusogeza huduma karibu na wateja wake, yazindua duka jipya la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam

 Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania Plc, George Lugata akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom mara baada ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa lililopo Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar Es Salaam leo Msimamizi wa duka jipya la Vodacom Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar es salaam, Devota Kijogoo akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa duka hilo. Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja...

 

9 years ago

Dewji Blog

PINDA aweka jiwe la msingi jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC jijini Dar

IMGS8031

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) wakati alipowasili kwenye eneo la ujenzi wa jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC katika  eneo la Victoria jijini Dar es salaam  kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo Oktoba 20,2015.Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS8032

Mkurugenzi Mkuu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MPANGO WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA KISASA LA SALENDER WAKAMILIKA

Muonekano wa Daraja jipya la Salenda litaakalopita baharini kuanzia Coco Beachi (Oysterbay) kwenda Hospitali ya Aga Khan (Maeneo ya Ocean Road/ Baraka Obama Road). Daraja hilo pamoja na barabara zake, litakuwa na urefu wa kilomita 7.2 na uwezo wa kupitisha magari zaidi ya 61,000 kwa siku huku likiwa na njia nne za magari pamoja service road njia za waenda kwa miguu kila upandeWaziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Chung Il...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo yafungua Duka jipya la kisasa Sumbawanga Mjini

sumbawanga1

Katibu tawala mkoa wa Rukwa,  ndugu Smythies Pangisa(kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara rasmi ya  uzinduzi wa duka la Tigo lililopo Sumbawanga mjini, kushoto ni  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kusini Jackson Kiswaga na katikati ni meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana.

sumbawanga2

Meneja wa operesheni kwa wateja Tigo kanda ya kusini, Laverty Khana(katikati) akitoa maelekezo kwa mgeni rasmi Katibu tawala mkoa wa Rukwa ndugu Smythies Pangisa jinsi watakavyo hudumia wateja,...

 

9 years ago

Dewji Blog

DC Singida azindua duka jipya la kisasa la mtandao wa simu za mkononi la Halotel

utepe

Mkuu wa Wilaya ya Singida, Said Amanzi akikata utepe kuzindua duka jipya la mtandao mpya wa simu za Mkononi wa Halotel katika hafla fupi ya uzinduzi wa duka hilo uliofanyika jana kwenye viwanja vya ofisi za kampuni hiyo eneo la Stendi ya zamani.

dc

Mkuu wa Wilaya ya Singida Saidi Amanzi akizungumza na wafanyakazi wa Halotel kabla ya kukata utepe kuzindua duka jipya Mkoani Singida jana.

MD

Mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania, Khanh Duy akimwelekeza Mkuu wa Wilaya ya...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA JENGO LA QUALITY CENTRE UCHUMI‏

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa wa kwanza toka kulia pamoja na Meneja wa duka hilo Irene Njovu na Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania Hassan Saleh wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka jipya na la kisasa la Vodacom Tanzania,lililopo Quality Centre katika   barabara ya Nyerere ambalo ni moja ya kituo kikubwa cha biashara jijini Dar es Salaam.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani