Daniel Manege: Mnilaumu Mimi na Si JB Kuhusu Filamu Mzee Wa Swagga
"Kwanza kabisa ningeanza kwa salam kwenu nyote na naamini muwazima wa afya.
Nimeamua kuandika ujumbe huu baada ya kuona na kupigiwa simu chache kuhusu "SKENDO" wa filamu Mzee wa Swagga kuwa imekopiwa.
Nijibu jibu fupi bila kusita kuwa kweli Story imekopiwa na original Story inaitwa Ladies Vs Ricky Bahl na mimi ndiye niliyemshauri JB kuichukua Story hiyo yenye maudhui ya kuvutia. Nataka nieleze sababu ya kufanya hivyo ila kabla sijaeleza sababu ningependa kuwaambia wale wote wanaotumia skendo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Feb
Filamu mpya ya JB ‘Mzee wa Swagga’ ni kopi 100% ya filamu ya kihindi
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
Nisha: Mimi ni Msanii Wa Filamu,Ila Napenda Muziki
Mwigizaji wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema japo kuwa anafanya sanaa ya uigizaji ila anapenda sana kuwa mwanamuziki.
Nisha aliyasema hayo hivi majuzi alipokuwa kwenye studio za THT pamoja na mastaa wengine wakirekoni wimbo maalumu wa maombolezo ya msiba wa marehemu Captain John Komba.
Kila la kheri Nisha kama kweli unakipaji,...nitafurahi kama ukija kivingine, uwe tofauti na kina shilole na H mama.
Mzee wa Ubuyu
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Mzee Yusuf kutikisa na filamu
MFALME wa Muziki wa taarabu Nchini, Mzee Yusuf, anatarajia kuachia filamu yake ya kwanza mwezi huu itakayokwenda kwa jina la ‘Nitadumu naye’ ikiwa ni nyimbo iliyowahi kutamba nayo mwaka 2006....
10 years ago
Bongo528 Feb
PAPASO: Sidhani kama wasanii wote wa filamu hawajatulia, mimi nimetulia — Salma Jabu (Nisha)
10 years ago
Bongo513 Apr
Mzee Chilo asema filamu ya ‘Going Bongo’ imemfunza mengi
10 years ago
GPLPETER LUSE, MZEE MAGALI WAZINDUA FILAMU YA DINI
10 years ago
Michuzi30 Oct
TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.
![](http://api.ning.com/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
Mzee Magali, Peter Luse Na Stanley Msungu Wazindua Filamu ya Dini
Waigizaji wa filamu, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu wamezindua filamu ya kidini inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.
Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar, ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.
GPL