Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Danny Lyanga ampa jeuri Kerr

danie-lynga-390x390NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kwa sasa anaweza kutembea kifua mbele baada ya kikosi chake kuanza kukaa katika mstari ulionyooka katika Ligi Kuu Tanzania Bara.

Jeuri ya Mwingereza huyo imekuja baada ya Simba kuonyesha kiwango cha hali ya juu katika mchezo wao dhidi ya Azam, uliokwisha kwa sare ya mabao 2-2, huku mshambuliaji wao, Danny Lyanga, aking’ara vilivyo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema awali walipokuwa kambini visiwani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kerr ampa jukumu zito Hanspope Simba

dylanker-haiphongNA SAADA SALIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, ameipa jukumu zito kamati ya usajili ya klabu hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti, Zacharia Hanspope, kuhakikisha wanasajili mshambuliaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Simba ina washambuliaji; Khamis Kiiza, Ibrahim Ajibu, Elias Maguli na Mussa Hassan ‘Mgosi’, lakini agizo hilo la kocha limetokana na ubutu ulioonekana katika timu yake.

Katika mchezo wake wa Jumamosi dhidi ya Sports Club Villa Uwanja wa Taifa, Simba...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi

KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.

“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Lyanga atua Simba, Miraji aondoka

Wakati mshambuliaji Daniel Lyanga akitua rasmi Simba kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili mdogo, beki wa pembeni wa klabu hiyo, Miraji Adam ameondoka na atajiunga na Coastal Union ya Tanga.

 

11 years ago

GPL

SAFARI YA MWISHO YA KENNETH KIDAGO LYANGA

Mwili wa Marehemu ukibebwa kutoka Kanisani tayari kwa Safari.…

 

11 years ago

GPL

NAOGOPA - DANNY PAS FT MR BLUE

Song: Naogopa by Danny Pas Ft Mr Blue Producer: Mr T. Touchez Studio: Sulductive Rec

 

5 years ago

Variety

Danny Tidwell, ‘So You Think You Can Dance’ Finalist, Dies at 35

Danny Tidwell, ‘So You Think You Can Dance’ Finalist, Dies at 35  VarietySo You Think You Can Dance Finalist Danny Tidwell Dead at 35  TVLineDanny Tidwell Dead – 'So You Think You Can Dance' Finalist Dies at 35  Just JaredDanny Tidwell: 5 Things To Know About ‘SYTYCD’ Finalist Who Sadly Died At 35  HollywoodLifeDanny Tidwell Dead: Travis Wall's Brother Dies at 35  Heavy.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

Danny Bulenge: Naweza kumsindikiza Mwaitege

Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama MUIMBAJI wa Muziki wa Injili anayekuja kasi katika muziki huo, Danny Bulenge amesema anakidhi kuwa mmoja wa watakaomsindikiza mwenzake Bonni Mwaitege uzinduzi unaotarajia kufanyika Agosti 2 mwaka huu.Kwa mujibu wa Bulenge anakidhi kumsindikiza Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu ambazo ni moto wa kuotea mbali katika muziki huo.Bulenge alisema hivi sasa anaendelea na mazoezi kwa lengo la kufikisha ujumbe wa neno la Mungu na kuahidi kusindikiza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Media critic Danny Schechter dies of cancer

Danny Scecter

Legendary newsman, media critic and human rights advocate Danny Schechter died Thursday in New York, after losing his battle with pancreatic cancer. He was 72.

Schechter started his media career in radio, as the “news dissector” at Boston’s WBCN-FM radio. Later he worked as a producer for ABC’s “20/20” and part of the start-up team of producers at CNN. He worked extensively in South Africa and was a friend of Nelson Mandela.

In recent years, Schechter was a frequent guest on RT, sharing his...

 

9 years ago

BBC

VIDEO: Danny Glover stars in Nigeria Ebola film

Actor Danny Glover has joined some of Nigeria's stars for a film on last year's Ebola outbreak.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani