Danny Lyanga ampa jeuri Kerr
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kwa sasa anaweza kutembea kifua mbele baada ya kikosi chake kuanza kukaa katika mstari ulionyooka katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Jeuri ya Mwingereza huyo imekuja baada ya Simba kuonyesha kiwango cha hali ya juu katika mchezo wao dhidi ya Azam, uliokwisha kwa sare ya mabao 2-2, huku mshambuliaji wao, Danny Lyanga, aking’ara vilivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema awali walipokuwa kambini visiwani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Kerr ampa jukumu zito Hanspope Simba
NA SAADA SALIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, ameipa jukumu zito kamati ya usajili ya klabu hiyo iliyo chini ya Mwenyekiti, Zacharia Hanspope, kuhakikisha wanasajili mshambuliaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Simba ina washambuliaji; Khamis Kiiza, Ibrahim Ajibu, Elias Maguli na Mussa Hassan ‘Mgosi’, lakini agizo hilo la kocha limetokana na ubutu ulioonekana katika timu yake.
Katika mchezo wake wa Jumamosi dhidi ya Sports Club Villa Uwanja wa Taifa, Simba...
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Lyanga atua Simba, Miraji aondoka
11 years ago
GPLSAFARI YA MWISHO YA KENNETH KIDAGO LYANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3fw*3wEJCUSvsWGn3-5F5zmaBKqbw5FjSqjyvMSnbcaTYRCdgGY64yRoC-2s66NHQyV6yVlHhw1n80aQ-2L4n3o/naogopa.jpg?width=550)
NAOGOPA - DANNY PAS FT MR BLUE
5 years ago
Variety07 Mar
Danny Tidwell, ‘So You Think You Can Dance’ Finalist, Dies at 35
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GFxjMb9sNAA/VaPOKUTNh8I/AAAAAAAHpYI/ytx-oABxVtU/s72-c/p.txt.jpg)
Danny Bulenge: Naweza kumsindikiza Mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-GFxjMb9sNAA/VaPOKUTNh8I/AAAAAAAHpYI/ytx-oABxVtU/s640/p.txt.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Media critic Danny Schechter dies of cancer
Legendary newsman, media critic and human rights advocate Danny Schechter died Thursday in New York, after losing his battle with pancreatic cancer. He was 72.
Schechter started his media career in radio, as the “news dissector” at Boston’s WBCN-FM radio. Later he worked as a producer for ABC’s “20/20” and part of the start-up team of producers at CNN. He worked extensively in South Africa and was a friend of Nelson Mandela.
In recent years, Schechter was a frequent guest on RT, sharing his...
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1AE2/production/_86128860_86128467.jpg)
VIDEO: Danny Glover stars in Nigeria Ebola film