Danny Bulenge: Naweza kumsindikiza Mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-GFxjMb9sNAA/VaPOKUTNh8I/AAAAAAAHpYI/ytx-oABxVtU/s72-c/p.txt.jpg)
Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama MUIMBAJI wa Muziki wa Injili anayekuja kasi katika muziki huo, Danny Bulenge amesema anakidhi kuwa mmoja wa watakaomsindikiza mwenzake Bonni Mwaitege uzinduzi unaotarajia kufanyika Agosti 2 mwaka huu.Kwa mujibu wa Bulenge anakidhi kumsindikiza Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu ambazo ni moto wa kuotea mbali katika muziki huo.Bulenge alisema hivi sasa anaendelea na mazoezi kwa lengo la kufikisha ujumbe wa neno la Mungu na kuahidi kusindikiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s72-c/Upendo%2BNkone.jpg)
Upendo Nkone kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://1.bp.blogspot.com/-2EJLpT64Zi8/VZVMD2UCcaI/AAAAAAAC8HE/I0XpW_yOf14/s320/Upendo%2BNkone.jpg)
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama Nkone amekuwa wa kwanza na ameonesha nia ya kumsindikiza Mwaitege kwa sababu ya ubora wa uzinduzi huo. “Uzinduzi wa Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu maandalizi yake kwa yamefanywa kwa ustadi mkubwa hasa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w8U2fm0AxWE/VYwiE1I-ANI/AAAAAAAC7b0/PcGZ9uZ6xVw/s72-c/10853650_783884661659685_182485499_o.jpg)
Waimbaji wa ndani waomba kumsindikiza Bonny Mwaitege
![](http://4.bp.blogspot.com/-w8U2fm0AxWE/VYwiE1I-ANI/AAAAAAAC7b0/PcGZ9uZ6xVw/s320/10853650_783884661659685_182485499_o.jpg)
Uzinduzi huo unaotarajia kufanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam ambao utashirikisha albamu tatu za muimbaji huyo zinazoendelea kurekodiwa jijini Mwanza.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama hivi sasa utaratibu wa kurekodi albamu hizo unaendelea jijini Mwanza. Msama aliyezungumza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwCAnSr46qVSIH9K37*XqsI4YNqZ66UKGqFgelbGa9f359c7-Gnd5i4aWE1yCSx3rJZXCrPlmtqmFi9mb61ne7P/jb.jpg)
JB NAWEZA KUWA KAMA ZAMANI
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Mradi wa ‘Sasa Naweza’ wadhaminiwa
KAMPUNI ya Promasidar imedhamini mradi wa ‘Sasa Naweza’ wenye lengo la kuinua kiwango cha ufaulu kwa watoto wa kike hapa nchini kuanzia Halmashauri ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3fw*3wEJCUSvsWGn3-5F5zmaBKqbw5FjSqjyvMSnbcaTYRCdgGY64yRoC-2s66NHQyV6yVlHhw1n80aQ-2L4n3o/naogopa.jpg?width=550)
NAOGOPA - DANNY PAS FT MR BLUE
9 years ago
Habarileo21 Nov
Ndugai-Msirudie, naweza kuwa mbabe
WAKATI Rais John Magufuli akieleza kusikitishwa na vitendo vya kitoto vilivyofanywa bungeni na Kambi ya Upinzani jana, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge wasimfanye awe Spika mbabe.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EjO6qaYQGxw/U8qzfoO3lII/AAAAAAAF3w4/4xZk-f1Nw40/s72-c/images+(1).jpg)
Kampeni ya "Najiamini Naweza" Ya Mitandao Ya Jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-EjO6qaYQGxw/U8qzfoO3lII/AAAAAAAF3w4/4xZk-f1Nw40/s1600/images+(1).jpg)
Kampeni hii imelenga kuonyesha harakati za kila siku za maisha ya Watanzania. Kampeni inahamasisha wananchi kutambua uwezo na wajibu walio nao katika kutafuta suluhu za kero/changamoto wanazokumbana nazo. Tunafahamu kwamba mabadiliko huanza na mtu mmoja na pia jinsi huyo mmoja anavyoweza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypmWdrZxG8BRRcy46E9aMJyHrEOzXssicvUp8d-yNGLgK8rThA9958jxdiq7QEz0BYAN71iqoROkin6aT3I-ypfE/mariahcareystylehasdinneratcraigsrestaurantjan.2015_1.jpg?width=650)
MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Danny Lyanga ampa jeuri Kerr
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kwa sasa anaweza kutembea kifua mbele baada ya kikosi chake kuanza kukaa katika mstari ulionyooka katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Jeuri ya Mwingereza huyo imekuja baada ya Simba kuonyesha kiwango cha hali ya juu katika mchezo wao dhidi ya Azam, uliokwisha kwa sare ya mabao 2-2, huku mshambuliaji wao, Danny Lyanga, aking’ara vilivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema awali walipokuwa kambini visiwani...