Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi wa ‘Sasa Naweza’ wadhaminiwa

KAMPUNI ya Promasidar imedhamini mradi wa ‘Sasa Naweza’ wenye lengo la kuinua kiwango cha ufaulu kwa watoto wa kike hapa nchini kuanzia Halmashauri ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MARIAH CAREY: SASA NAWEZA KUPENDA

Staa wa muziki wa Pop, Mariah Carey STAA wa muziki wa Pop, Mariah Carey ameweka bayana kuwa sasa anaweza kupenda tena baada ya kuachana na mzazi mwenzake, Nick Cannon. Mariah Carey akiwa na aliyekuwa mumewe Nick Cannon.
Staa huyo alisema kuwa lolote linawezekana chini ya jua na kwamba akipata anayempenda, hatajizuia kuwa naye hadharani.Akizungumza na  tovuti ya people.com, staa huyo alisema kwamba hatasita… ...

 

11 years ago

Habarileo

Moravian waliopigana hadharani wadhaminiwa

WAUMINI 29 wa Kanisa la Moravian Kinondoni, wanaokabiliwa na kesi ya kupigana hadharani walipatiwa dhamana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 10 wadhaminiwa kusomea gesi Uingereza

Wanafunzi 10 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi wamepata udhamini wa elimu ya juu katika ngazi ya shahada ya uzamili kwenye vyuo mbalimbali vya nje ya nchi, imeelezwa.

 

11 years ago

GPL

‘DANCE 100’ WILAYA YA TEMEKE WADHAMINIWA NA VODACOM

Kikundi cha  Street Dance cha Mbagala, jijini  Dar es Salaam, wakionyesha umahiri  wao wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali. Wachezaji Manuary  kutoka Majohe,  Pugu, Dar, wakiwa kazini.…

 

10 years ago

GPL

JB NAWEZA KUWA KAMA ZAMANI

MKONGWE wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ amefunguka kwamba anaweza kuuweka kando ubonge na kurejea kwenye muonekano wake wa zamani kama atatakiwa kuwa hivyo. Mkongwe wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ akila tizi. JB aliyasema hayo alipoulizwa kuhusiana na picha yake ya zamani inayomuonesha akiwa mwembamba sana tofauti na ubonge alionao sasa ambapo alijitetea kwamba yeye ni msanii na filamu ndizo...

 

11 years ago

Michuzi

Kampeni ya "Najiamini Naweza" Ya Mitandao Ya Jamii

Napenda kukutambulisha juhudi yetu mpya inayoitwa “Najiamini Naweza” - ambayo ni matokeo ya ushirikiano kati ya Maanisha! Limited (http://www.maanisha.co.tz/) na Hivos Twaweza (http://www.twaweza.org/).  
Kampeni hii imelenga kuonyesha harakati za kila siku za maisha ya Watanzania.  Kampeni inahamasisha wananchi kutambua uwezo na wajibu walio nao katika kutafuta suluhu za kero/changamoto wanazokumbana nazo. Tunafahamu kwamba mabadiliko huanza na mtu mmoja na pia jinsi huyo mmoja anavyoweza...

 

9 years ago

Habarileo

Ndugai-Msirudie, naweza kuwa mbabe

WAKATI Rais John Magufuli akieleza kusikitishwa na vitendo vya kitoto vilivyofanywa bungeni na Kambi ya Upinzani jana, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge wasimfanye awe Spika mbabe.

 

10 years ago

Michuzi

Danny Bulenge: Naweza kumsindikiza Mwaitege

Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama MUIMBAJI wa Muziki wa Injili anayekuja kasi katika muziki huo, Danny Bulenge amesema anakidhi kuwa mmoja wa watakaomsindikiza mwenzake Bonni Mwaitege uzinduzi unaotarajia kufanyika Agosti 2 mwaka huu.Kwa mujibu wa Bulenge anakidhi kumsindikiza Mwaitege anayetarajia kuzindua albamu tatu ambazo ni moto wa kuotea mbali katika muziki huo.Bulenge alisema hivi sasa anaendelea na mazoezi kwa lengo la kufikisha ujumbe wa neno la Mungu na kuahidi kusindikiza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani