Wanafunzi 10 wadhaminiwa kusomea gesi Uingereza
Wanafunzi 10 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi wamepata udhamini wa elimu ya juu katika ngazi ya shahada ya uzamili kwenye vyuo mbalimbali vya nje ya nchi, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Mawakili kusomea gesi, mafuta
11 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Vijana 10 kusomea mafuta na gesi China
NA SELINA WILSON
VIJANA 10 wa Kitanzania waliopata ufadhili wa kusomea shahada ya uzamili na uzamivu katika masuala ya gesi na mafuta, wamekabidhiwa nyaraka muhimu ikiwemo viza.
Hatua hiyo ni mwendelezo wa serikali kuhakikisha inazalisha wataalamu wazawa wa kutosha katika sekta ya mafuta na gesi, ambao watashiriki kikamilifu.
Nafasi hizo zilitolewa na serikali ya China baada ya kuombwa na Tanzania, ikiwa ni mkakati wa kutimiza lengo hilo la kuwa na wataalamu wazawa wa kutosha.
Akizungumza kabla...
11 years ago
Habarileo27 Jul
Mawakili kusomea sheria za gesi, mafuta Marekani
CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wakishirikiana na The Colom Foundation INC na Nashera Hotel wanakusudia kuwapeleka mawakili 20 wa Tanzania katika Chuo Kikuu cha Mississippi nchini Marekani kujifunza zaidi juu ya elimu ya nadharia na vitendo katika sheria, hususan ya gesi na mafuta.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MDuCGCyMDPc/VBs7Jsd92BI/AAAAAAAGkWY/BK2xeJx9gv4/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Vijana Saba kusomea mafuta na Gesi nchini Brazili Mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-MDuCGCyMDPc/VBs7Jsd92BI/AAAAAAAGkWY/BK2xeJx9gv4/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yzw0ue38lGA/VBs7K5a381I/AAAAAAAGkWg/4ZI97d0rti4/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Waziri wa Uingereza atoa angalizo la gesi
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Lowassa: Mapato ya gesi yatasomesha wanafunzi bure
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Marufuku yawekwa ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi, Uingereza
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Mradi wa ‘Sasa Naweza’ wadhaminiwa
KAMPUNI ya Promasidar imedhamini mradi wa ‘Sasa Naweza’ wenye lengo la kuinua kiwango cha ufaulu kwa watoto wa kike hapa nchini kuanzia Halmashauri ya Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam....
11 years ago
Habarileo24 Jul
Moravian waliopigana hadharani wadhaminiwa
WAUMINI 29 wa Kanisa la Moravian Kinondoni, wanaokabiliwa na kesi ya kupigana hadharani walipatiwa dhamana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.