Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri wa Uingereza atoa angalizo la gesi

Dar es Salaam.Tanzania imeshauriwa kutotishwa na migogoro mbalimbali barani Afrika inayotokana na rasilimali za gesi na mafuta, badala yake ifuate mipango yake iliyojiwekea ili kuwanufaisha wananchi wote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pluijm atoa angalizo kwa wachezaji

pluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema kuwa hafikirii kama kikosi chake kitatoka kwenye nafasi tatu za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hivyo ametoa angalizo kwa kila mchezaji kuhakikisha anaendana na kasi yake.

Timu hiyo juzi ilifanikiwa kuongoza ligi, baada ya kushinda mabao 4-0 dhidi ya Stand United na kufanikiwa kufikisha jumla ya pointi 30.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema tayari ameshapiga hesabu za mbali...

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda atoa angalizo Uchaguzi Mkuu 2015

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wasikubali kuchagua viongozi wanaotafuta uongozi kwa kutumia fedha kwani zinaweza kuleta machafuko.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais Magufuli atoa angalizo la utamaduni wa salamu za mikono na mabusu

Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya corona, akiwataka kutopuuza kwani mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

9 years ago

Vijimambo

MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO


RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.  

 Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.  

“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 10 wadhaminiwa kusomea gesi Uingereza

Wanafunzi 10 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi wamepata udhamini wa elimu ya juu katika ngazi ya shahada ya uzamili kwenye vyuo mbalimbali vya nje ya nchi, imeelezwa.

 

10 years ago

Michuzi

NAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA

 Katibu wa NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa mashina ya CCM Uingereza  ambapo aliwaambia matawi ya CCM nje ya nchi yawe mawakala wa kuleta mabadiliko ndani ya chama pamoja na kuwaunganisha watanzania kujikomboa kiuchumi Baadhi ya viongozi wa mashina ya CCM Uingereza wakifuatilia mafunzo kutoka kwa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye aliyekuwa akitoa somo juu ya Wajibu wa Matawi ya CCM nje ya Nchi. Viongozi wa mashina wakisikiliza kwa makini.
BOFYA...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu

Waziri wa uhamiaji wa UIngereza aliyeajiri mhamiaji asiyekuwa na kibali, ajiuzulu

 

11 years ago

GPL

UWAJIBIKAJI: WAZIRI WA UHAMIAJI UINGEREZA AJIUZULU

Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper. WAZIRI wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper, amejiuzulu baada ya kugundulika kuwa amemuajiri mfanyakazi asiyekuwa na kibali cha kufanya kazi Uingereza. Harper ameeleza kuwa alidanganywa na mwanamke mmoja aliyemuonesha nyaraka za bandia, alipomuajiri mwaka 2007 kusafisha nyumba yake. Bwana Harper ambaye amekuwa Waziri wa Uhamiaji tangu mwaka 2012, alisema kwa sababu alichangia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani