Waziri wa Uingereza atoa angalizo la gesi
Dar es Salaam.Tanzania imeshauriwa kutotishwa na migogoro mbalimbali barani Afrika inayotokana na rasilimali za gesi na mafuta, badala yake ifuate mipango yake iliyojiwekea ili kuwanufaisha wananchi wote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Pluijm atoa angalizo kwa wachezaji
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema kuwa hafikirii kama kikosi chake kitatoka kwenye nafasi tatu za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hivyo ametoa angalizo kwa kila mchezaji kuhakikisha anaendana na kasi yake.
Timu hiyo juzi ilifanikiwa kuongoza ligi, baada ya kushinda mabao 4-0 dhidi ya Stand United na kufanikiwa kufikisha jumla ya pointi 30.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema tayari ameshapiga hesabu za mbali...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Pinda atoa angalizo Uchaguzi Mkuu 2015
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rais Magufuli atoa angalizo la utamaduni wa salamu za mikono na mabusu
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s72-c/MALINZI.jpg)
MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s640/MALINZI.jpg)
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Wanafunzi 10 wadhaminiwa kusomea gesi Uingereza
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8wO3p9aZEYo/VA1C8p8hnFI/AAAAAAAAQWw/x8cieNefqvs/s72-c/6.jpg)
NAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8wO3p9aZEYo/VA1C8p8hnFI/AAAAAAAAQWw/x8cieNefqvs/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXHEQ6zDiwA/VA1C_qlbn8I/AAAAAAAAQW4/9olO3suDu1I/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2y2Xaq1sB10/VA1DBIdYdiI/AAAAAAAAQXA/EI27GD9uRVY/s1600/4.jpg)
BOFYA...
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwwM5as4RbjR4eGCpCDQDfQQtYvSKjmpYX6alzRlj7YDmQ*TT22OZ5378Cz3L2vlswqqGLaBSSOPwRy8mxUE9vT/mark.jpg)
UWAJIBIKAJI: WAZIRI WA UHAMIAJI UINGEREZA AJIUZULU