Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm atoa angalizo kwa wachezaji

pluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema kuwa hafikirii kama kikosi chake kitatoka kwenye nafasi tatu za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hivyo ametoa angalizo kwa kila mchezaji kuhakikisha anaendana na kasi yake.

Timu hiyo juzi ilifanikiwa kuongoza ligi, baada ya kushinda mabao 4-0 dhidi ya Stand United na kufanikiwa kufikisha jumla ya pointi 30.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema tayari ameshapiga hesabu za mbali...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO


RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.  

 Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.  

“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri wa Uingereza atoa angalizo la gesi

Dar es Salaam.Tanzania imeshauriwa kutotishwa na migogoro mbalimbali barani Afrika inayotokana na rasilimali za gesi na mafuta, badala yake ifuate mipango yake iliyojiwekea ili kuwanufaisha wananchi wote.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda atoa angalizo Uchaguzi Mkuu 2015

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wasikubali kuchagua viongozi wanaotafuta uongozi kwa kutumia fedha kwani zinaweza kuleta machafuko.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais Magufuli atoa angalizo la utamaduni wa salamu za mikono na mabusu

Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya corona, akiwataka kutopuuza kwani mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm: Wachezaji Yanga wazembe

>Kocha wa Yanga, Hans der  Van Pluijm amesema uzembe wa baadhi ya wachezaji wake unaigharimu timu hiyo katika harakati zake za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu; huku akiwataka washambuliaji wake kubadilika.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm afunguka, atoa tamko

PluijmNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amesema wachezaji wake wanakabiliwa na tatizo sugu la kutofanya mawasiliano au kupeana ishara wanapokuwa uwanjani, jambo ambalo limekuwa likimuumiza kichwa.
Hali ya kutokuwa na mawasiliano uwanjani ndiyo iliyochangia timu hiyo kufungwa bao la kizembe la kufutia machozi kwa JKT Ruvu, wakati timu hizo zilipochuana vikali katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atoa onyo Yanga

plijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Hans Van Der Pluijm, amewaonya viongozi wa klabu hiyo na kuwataka wahakikishe wanafanya usajili utakaoiletea timu mafanikio na siyo ubabaishaji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema kipindi cha usajili kimekuwa na matukio ya ajabu ambayo hupelekea mipango ya mwalimu kuvurugika kutokana na viongozi kufanya maamuzi yao binafsi.
Pluijm ambaye anatarajia kuondoka nchini Jumamosi kuelekea...

 

11 years ago

GPL

Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga

Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Ibrahim Mussa
AMEMWAGA mboga! Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, ameibuka na kusema kuwa kitendo alichokifanya mshambuliaji Emmanuel Okwi cha kutimkia Simba ni sahihi kwani viongozi wa Yanga hawakuwa wakimjali kipindi anachezea timu yao. Pluijm ambaye alifanya kazi na Mganda huyo katika kikosi cha timu hiyo msimu uliopita kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani