Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm afunguka, atoa tamko

PluijmNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amesema wachezaji wake wanakabiliwa na tatizo sugu la kutofanya mawasiliano au kupeana ishara wanapokuwa uwanjani, jambo ambalo limekuwa likimuumiza kichwa.
Hali ya kutokuwa na mawasiliano uwanjani ndiyo iliyochangia timu hiyo kufungwa bao la kizembe la kufutia machozi kwa JKT Ruvu, wakati timu hizo zilipochuana vikali katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atoa onyo Yanga

plijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Hans Van Der Pluijm, amewaonya viongozi wa klabu hiyo na kuwataka wahakikishe wanafanya usajili utakaoiletea timu mafanikio na siyo ubabaishaji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema kipindi cha usajili kimekuwa na matukio ya ajabu ambayo hupelekea mipango ya mwalimu kuvurugika kutokana na viongozi kufanya maamuzi yao binafsi.
Pluijm ambaye anatarajia kuondoka nchini Jumamosi kuelekea...

 

9 years ago

Mtanzania

Pluijm atoa angalizo kwa wachezaji

pluijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema kuwa hafikirii kama kikosi chake kitatoka kwenye nafasi tatu za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, hivyo ametoa angalizo kwa kila mchezaji kuhakikisha anaendana na kasi yake.

Timu hiyo juzi ilifanikiwa kuongoza ligi, baada ya kushinda mabao 4-0 dhidi ya Stand United na kufanikiwa kufikisha jumla ya pointi 30.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema tayari ameshapiga hesabu za mbali...

 

11 years ago

GPL

Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga

Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Na Ibrahim Mussa
AMEMWAGA mboga! Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, ameibuka na kusema kuwa kitendo alichokifanya mshambuliaji Emmanuel Okwi cha kutimkia Simba ni sahihi kwani viongozi wa Yanga hawakuwa wakimjali kipindi anachezea timu yao. Pluijm ambaye alifanya kazi na Mganda huyo katika kikosi cha timu hiyo msimu uliopita kabla ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

CAG atoa tamko sakata la ESCROW

cag

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Ludovick Utouh.

Na Mwandishi wetu

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inapenda kuujulisha Umma kuwa Ukaguzi Maalum wa akaunti ya Tegeta Escrow ambao unafahamika kama Ukaguzi wa IPTL unaendelea na unaongozwa na Hadidu za Rejea (ToR) zilizotolewa na kisha kuridhiwa na Ofisi ya Bunge na Wizara ya Nishati na Madini.

Ukaguzi wa akaunti ya Tegeta Escrow uliombwa na Katibu wa Bunge na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na...

 

10 years ago

GPL

VURUGU ZA AFRIKA KUSINI, WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO

Na Denis Mtima / GPL WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (pichani) ametoa tamko kuhusiana na Watanzania waliopo nchini Afrika Kusini. Waziri Membe amesema Watanzania 21 watarejeshwa nchini kutokana na vurugu zinazoendelea za wenyeji kuwashambulia wageni huko Afrika Kusini. Aidha, Membe ameongeza kuwa Watanzania watatu wamefariki kwa maradhi lakini si kuuawa katika vurugu hizo, hivyo hakuna mtu...

 

10 years ago

GPL

MTANZANIA ALIYEPATA TUZO YA MALKIA ELIZABETH II ATOA TAMKO

Mshindi wa tuzo za The Queens Young Leaders upande wa mwanamke aliyetokea Mkoa wa Mwanza, Angela Benedicto ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika la Kwotesawa linalohusika na kutetea haki za watoto (kushoto) Mshindi wa tuzo hizo (anayezungumza), Given Edward pamoja na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Huduma za Teknolojia, Eng. Peter Phillip. Wanahabari wakichukua tukio. ...Angela… ...

 

10 years ago

GPL

MKURUGENZI SUMATRA ATOA TAMKO KUHUSU NAULI ZA MABASI NA DARADALA

Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gillian Ngewe (kushoto) akitoa tamko, kulia kwake ni Eng. Dr. Michael Kisaka mwongozaji wa Reli nchini. Mkurugenzi huyo (kushoto) akitoa ufafanuzi. Viongozi hao…

 

11 years ago

CloudsFM

LUNDENGA ATOA TAMKO KUHUSU UMRI SAHIHI WA MISS TANZANIA

Waandaji wa shindano la Miss Tanzania 2014 Lino International ambao wakishirikiana na Redds wamekutana leo jijini Dar es salaam na waandishi wa habari ili kuzungumza nao kuhusu skendo ya umri halisi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashim lundenga amesema tuhuma za kuwa miss Tanzania anamtoto sio kweli na kwamba hairuhusiwi kwa mshindani wa Miss Tanzania kuwa na Mtoto. Pia Hashim ameonyesha vyeti halisi vya kuzaliwa vya Sitti abavyo vimeonyesha...

 

10 years ago

GPL

CHIKAWE ATOA TAMKO KUHUSU KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,  akitoa tamko.  …akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu tamko lake. …akiandika moja ya maswali aliloulizwa na mwanahabari (hayupo pichani).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani