CAG atoa tamko sakata la ESCROW
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Bw. Ludovick Utouh.
Na Mwandishi wetu
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inapenda kuujulisha Umma kuwa Ukaguzi Maalum wa akaunti ya Tegeta Escrow ambao unafahamika kama Ukaguzi wa IPTL unaendelea na unaongozwa na Hadidu za Rejea (ToR) zilizotolewa na kisha kuridhiwa na Ofisi ya Bunge na Wizara ya Nishati na Madini.
Ukaguzi wa akaunti ya Tegeta Escrow uliombwa na Katibu wa Bunge na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w-kMPS3Oa4Q/VPtkoffIKCI/AAAAAAAHImI/t6qukxrKMuo/s72-c/10.jpg)
KINANA ATOA USHAURI KWA KATIBU MKUU KIONGOZI KUWASIMAMISHA MARA MOJA VIONGOZI WALIOTAJWA KWENYE SAKATA LA ESCROW .
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-kMPS3Oa4Q/VPtkoffIKCI/AAAAAAAHImI/t6qukxrKMuo/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXkRu3hlTWw/VPtk08CMMSI/AAAAAAAHInk/eO9wWG4GyZU/s1600/9.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
10 years ago
TheCitizen17 Nov
What CAG found out in escrow deal
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Sakata la Escrow baadhi mahakamani
10 years ago
GPLWANANCHI WAZUNGUMZIA SAKATA LA ESCROW
10 years ago
Habarileo29 Nov
Wabunge waungana sakata la Escrow
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana lilikuwa moja dhidi ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), huku baadhi ya mawaziri wakitofautiana na taarifa ya Serikali ya utetezi wa suala hilo.
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Lissu amtaja JK sakata la escrow
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sakata ya Escrow leo jioni
10 years ago
Habarileo24 Nov
Pinda afunguka sakata la Escrow
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.