MTANZANIA ALIYEPATA TUZO YA MALKIA ELIZABETH II ATOA TAMKO
Mshindi wa tuzo za The Queens Young Leaders upande wa mwanamke aliyetokea Mkoa wa Mwanza, Angela Benedicto ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika la Kwotesawa linalohusika na kutetea haki za watoto (kushoto) Mshindi wa tuzo hizo (anayezungumza), Given Edward pamoja na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Huduma za Teknolojia, Eng. Peter Phillip. Wanahabari wakichukua tukio. ...Angela… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Enzi ya Malkia Elizabeth ya miaka 63 !
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Malkia Elizabeth ameadhimisha miaka 89
10 years ago
BBCSwahili02 May
Malkia Elizabeth apata kitukuu chengine
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Qg0yxdZS1X8/default.jpg)
MJUE SUPER MODEL HERIETH PAUL MTANZANIA ALIYEPATA MKTATABA NA SEPHORA COSMETICS & BEAUTY
Ninafurahi kukupa taarifa hii mahususi ya Binti MTANZANIA - HERIETH PAUL - SUPER MODEL anayeishi Canada na Marekani na kufanya kazi zake ‘around the Globe’.
Video mbili ni baadhi tu ya interview alizofanya leo 01/9/2015 - na CTV - Ottawa akizungumzia Mkataba wa kazi alioingia na KAMPUNI kubwa duniani ya vipodozi ‘Sephora Cosmetics & Beauty’ na video ya pili ni MORNING LIVE – Ottawa, ambayo anaelezea mafanikio yake kwa nia ya kuwahamsisha wasichana wa umri wake waweze KUJIAMINI na...
9 years ago
Habarileo17 Nov
Malkia Elizabeth, Mfalme Akihito wampongeza JPM
RAIS John Magufuli ameendelea kupokea salamu za pongezi kutoka kwa viongozi mbalimbali duniani kutokana na kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, safari hii akiwamo Malkia Elizabeth II wa Uingereza.
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Kodi ya faru wa msaada yamkera Malkia Elizabeth
MALKIA Elizabeth wa Uingereza na marafiki wa uhifadhi wametishia kusitisha misaada ya uhifadhi wa faru kwenye Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kutokana na Serikali ya Tanzania kutoza kodi faru waliotolewa...
5 years ago
CCM Blog29 Mar
JE, MALKIA ELIZABETH WA UINGEREZA AMEAMBUKIZWA VIRUSI VYA CORONA
![Je, Malkia Elizabeth wa Uingereza ameambukizwa virusi vya corona](https://media.parstoday.com/image/4bsk0a739608601hju0_800C450.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA AFUTA MPANGO WA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-A3o50n51saY/XqFJyfIgs1I/AAAAAAAC3wE/Qn92WuKK0mQclt7-NPNRTdXqooh5gmwVgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kwa kawaida mtawala wa Uingereza anasherehekewa siku ya kuzaliwa mara mbili kila mwaka.
Moja ni siku yake halisi ya kuzaliwa, na nyingine ni siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa Malkia iliyowekwa na serikali.
Kutokana na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya Corona, malkia Elizabeth ameamua kufuta sherehe za kutoa heshima ya mizinga mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J4rW54EsyWA/VknHYluJalI/AAAAAAAIGNo/kVV72uZL9fk/s72-c/New%2BPicture.png)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA ATUMA SALAMU ZA PONGEZA KWA RAIS JOHN POMBE JOSEF MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-J4rW54EsyWA/VknHYluJalI/AAAAAAAIGNo/kVV72uZL9fk/s1600/New%2BPicture.png)
SALAMU ZA PONGEZI RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amepokea salamu za pongezi kutoka kwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katika salamu hizo Malkia wa Uingereza amemueleza Mhe. Rais Dkt. Magufuli kuwa “Natumaini kuwa mahusiano baina ya nchi hizi mbili ambazo ni...