Lowassa: Mapato ya gesi yatasomesha wanafunzi bure
Mgombea urais wa Chadema kwa mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano atatumia fedha itakayopatikana katika uzalishaji wa gesi kama sehemu ya kutekeleza ahadi ya elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi Chuo Kikuu ambayo ipo katika ilani ya uchaguzi ya Ukawa, huku akisisitza, “Msiogope.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Lowassa: Mapato ya gesi yasaidie elimu
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, amesema kuwa elimu hapa nchini iko hoi, kwamba unahitajika ushirikiano wa pamoja baina ya wadau pamoja na kutumia mapato ya gesi kuinusuru. Lowassa ameishauri serikali...
9 years ago
Habarileo27 Dec
Mapato ya gesi sasa hadharani
WAKATI eneo la kujenga kiwanda cha kuchakata gesi itakayovunwa baharini likitangazwa kupatikana wiki hii, uvunaji utakapoanza Serikali itapata mapato makubwa kutokana na mikataba minono iliyoingiwa.
9 years ago
Habarileo31 Aug
‘Mapato ya gesi yatumike kuimarisha kilimo’
MJUMBE wa Baraza la Wajuzi kutoka Baraza la Habari (MCT) Jenerali Twaha Ulimwengu ameshauri serikali kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji kwa kutumia fedha zinazotokana mauzo ya gesi asilia na mafuta.
9 years ago
StarTV13 Nov
Uwekezaji wa mapato ya mafuta, gesi watakiwa maendeleo ya watanzania
Kuongezeka kwa uwezo wa kiuchumi wa kuzalisha na kuwahudumia watanzania katika sekta ya elimu, afya na maendeleo ya jamii kutategemea uwekezaji wa mapato yanayotokana na rasilimali za mafuta na gesi.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Adolf Mkenda amesema ili rasilimali hizo ziwe endelevu na zenye manufaa kwa watanzania ni lazima zibadilishwe na kuwekezwa katika mitaji mingine.
Katika mkutano wa wadau wa gasi na mafuta jijini Dar es salaam Adolf Mkenda Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fHFt4zY9Wpg/XtOmc6R0OXI/AAAAAAALsHs/w0R8CDxnXAYT2R3d5RdOd_NhQxs5OoAyQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-4-9-768x512.jpg)
MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI WATEJA WA AWALI KUUNGANISHWA BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-fHFt4zY9Wpg/XtOmc6R0OXI/AAAAAAALsHs/w0R8CDxnXAYT2R3d5RdOd_NhQxs5OoAyQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-4-9-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-1-10-1024x683.jpg)
Baadhi ya nyumba zikiwa zimefungiwa mita ya za kupima matumizi ya gesi asilia kwa kwa ajili ya kupikia,Waziri wa...
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA VYUO KUFURAHIA HUDUMA YA KUPIGIANA SIMU BURE
Huduma hii imeboreshwa zaidi baada ya kifurushi hicho kwa jina maarufu kama Tigo Uni Pack kuzinduliwa mwaka jana, ukilinganisha na kifurushi cha zamani, kifurushi hichi kipya cha wiki kitawapatia wanafunzi wepesi wa kujiunga wakiwa popote ndani ya nchi, hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na kampuni ya Tigo...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Lowassa: Polisi msitutafutie sababu bure
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Wanafunzi wa vyuo kufurahia huduma ya kupigiana simu bure toka TIGO
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Wanafunzi 10 wadhaminiwa kusomea gesi Uingereza